Historia nzuri yenye funzoDhambi ya usaliti, ndio
dhambi ya usaliti, yani dhambi ya usaliti
ndio dhambi kubwa kwenye usaliti.
Yes,dhambi ya usaliti.
Mwaka 1960, Kasavubu alimsaliti Patrice
Lumumba, akashiriki kupanga, kuinjinia
na kuratitbu kuuwawa kwa Lumumba,
sio kuuwawa tu, bali mauaji ya kinyama,
mipango yote alipewa Mobutu kuratibu.
Baada ya Lumumba kuuwawa Kasa-Vubu
alimpandisha cheo jeshini Mobutu kuwa
Luteni Jenerali, na kumteua kuwa mkuu
wa majeshi, yote hayo yalifanyika mwaka
1965.
Ona Sasa usaliti unavyo tafuna, Mobutu
baada ya kupandishwa cheo nae
akampindua Kasavubu siku 6 baadaye.
Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha.
Siku 2 baada ya Kasavubu kupinduliwa
Mobutu akapanga njama ya kumkamata
Kasavubu, Kasavubu aliposikia akataka
kutoroka, Mobutu akamkamata na
kumuweka Kasa-Vubu chini ya kizuizi cha
nyumbani (under house arrest).
Alikaa hapo kwa miezi 15 mpaka alipokubali
kutangaza kustaafu siasa na kutojihusisha na siasa,
akapigwa kofuri, ubaya auozi.
Publications
Kasavubu alipewa sharti la kuishi nyumbani tu yani
katika shamba lake huko Mayombe, hakuna kutoka
nyumbani bila kibali cha Mobutu.
Kasa-Vubu alifariki katika hospitali ya Boma miaka
minne baadaye yani mwaka 1969, baada ya kuugua
kwa muda mrefu na kukosa uangalizi.
Hii ndio dhambi ya usaliti.
Safi sana Mobutu alifanya jambo zuri sana.Dhambi ya usaliti,mbaya
dhambi ya usaliti, yani dhambi ya usaliti
ndio dhambi kubwa kwenye usaliti.
Yes,dhambi ya usaliti.
Mwaka 1960, Kasavubu alimsaliti Patrice
Lumumba, akashiriki kupanga, kuinjinia
na kuratitbu kuuwawa kwa Lumumba,
sio kuuwawa tu, bali mauaji ya kinyama,
mipango yote alipewa Mobutu kuratibu.
Baada ya Lumumba kuuwawa Kasa-Vubu
alimpandisha cheo jeshini Mobutu kuwa
Luteni Jenerali, na kumteua kuwa mkuu
wa majeshi, yote hayo yalifanyika mwaka
1965.
Ona Sasa usaliti unavyo tafuna, Mobutu
baada ya kupandishwa cheo nae
akampindua Kasavubu siku 6 baadaye.
Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha.
Siku 2 baada ya Kasavubu kupinduliwa
Mobutu akapanga njama ya kumkamata
Kasavubu, Kasavubu aliposikia akataka
kutoroka, Mobutu akamkamata na
kumuweka Kasa-Vubu chini ya kizuizi cha
nyumbani (under house arrest).
Alikaa hapo kwa miezi 15 mpaka alipokubali
kutangaza kustaafu siasa na kutojihusisha na siasa,
akapigwa kofuri, ubaya auozi.
Publications
Kasavubu alipewa sharti la kuishi nyumbani tu yani
katika shamba lake huko Mayombe, hakuna kutoka
nyumbani bila kibali cha Mobutu.
Kasa-Vubu alifariki katika hospitali ya Boma miaka
minne baadaye yani mwaka 1969, baada ya kuugua
kwa muda mrefu na kukosa uangalizi.
Hii ndio dhambi ya usaliti.
Bado Sa100 na wahuni wenzake kwa kumsaliti JPM na Watanzania wazalendo .....Dhambi ya usaliti, mbaya dhambi ya usaliti, yaani dhambi ya usaliti ndio dhambi kubwa kwenye usaliti. Yes, dhambi ya usaliti. Mwaka 1960, Kasavubu alimsaliti Patrice Lumumba, akashiriki kupanga, kuinjinia na kuratitbu kuuawa kwa Lumumba, sio kuuwawa tu, bali mauaji ya kinyama, mipango yote alipewa Mobutu kuratibu.
Baada ya Lumumba kuuwawa Kasa-Vubu alimpandisha cheo jeshini Mobutu kuwa Luteni Jenerali, na kumteua kuwa mkuu wa majeshi, yote hayo yalifanyika mwaka 1965. Ona Sasa usaliti unavyotafuna, Mobutu baada ya kupandishwa cheo nae akampindua Kasavubu siku 6 baadaye. Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha.
Siku 2 baada ya Kasavubu kupinduliwa Mobutu akapanga njama ya kumkamata Kasavubu, Kasavubu aliposikia akataka kutoroka, Mobutu akamkamata na kumuweka Kasa-Vubu chini ya kizuizi cha nyumbani (under house arrest). Alikaa hapo kwa miezi 15 mpaka alipokubali kutangaza kustaafu siasa na kutojihusisha na siasa, akapigwa kufuli, ubaya hauozi.
Kasavubu alipewa sharti la kuishi nyumbani tu yaani katika shamba lake huko Mayombe, hakuna kutoka nyumbani bila kibali cha Mobutu. Kasa-Vubu alifariki katika hospitali ya Boma miaka minne baadaye yaani mwaka 1969, baada ya kuugua kwa muda mrefu na kukosa uangalizi. Hii ndio dhambi ya usaliti.
Liberia ni nchi ukisoma siasa zake utaenjoy sana..kuna kulikua na makundi mawili wazawa masikini na matajiri ambao walitokea usa wenye asili ya liberia walio rudi liberia baada ya utumwa kukomeshwa.Samweli Doe alitumwa kwenda kumuuwa Rais William R. Tolbert, aliyekuwa anaiyongoza Liberia muda huo.Samwel Doe kwa tamaa baada ya kumuuwa Rais akaenda kuwauwa na wale waliyomtuma na kisha akajitangaza kuwa yeye ndiye kiongozi mpya wa Liberia na rafiki yake Charles taylor akampa uwongozi.
Charle taylor akaiba pesa nyingi akakimbia nchi akaenda kutengeneza waasi alivyorudi akanzisha vikundi vya waasi zidi ya swaiba wake.mwisho wa siku Samwel Doe alikufa kifo kibaya na cha aibu huku swaiba wake akichukua kiti chake
Jpm anatesema motoni kwa kuwatesa wana wa nchi na kuwaua na kupoteza maelfuBado Sa100 na wahuni wenzake kwa kumsaliti JPM na Watanzania wazalendo .....
Kwake sa100 uzalendo ni maviii
Paul Makonda is backJpm anatesema motoni kwa kuwatesa wana wa nchi na kuwaua na kupoteza maelfu
Unakitu Cha kuhadithia alafu hutaki kutuhadithia.Liberia ni nchi ukisoma siasa zake utaenjoy sana..kuna kulikua na makundi mawili wazawa masikini na matajiri ambao walitokea usa wenye asili ya liberia walio rudi liberia baada ya utumwa kukomeshwa.
#MaendeleoHayanaChama
Polen sanaDhambi ya usaliti, mbaya dhambi ya usaliti, yaani dhambi ya usaliti ndio dhambi kubwa kwenye usaliti. Yes, dhambi ya usaliti. Mwaka 1960, Kasavubu alimsaliti Patrice Lumumba, akashiriki kupanga, kuinjinia na kuratitbu kuuawa kwa Lumumba, sio kuuwawa tu, bali mauaji ya kinyama, mipango yote alipewa Mobutu kuratibu.
Baada ya Lumumba kuuwawa Kasa-Vubu alimpandisha cheo jeshini Mobutu kuwa Luteni Jenerali, na kumteua kuwa mkuu wa majeshi, yote hayo yalifanyika mwaka 1965. Ona Sasa usaliti unavyotafuna, Mobutu baada ya kupandishwa cheo nae akampindua Kasavubu siku 6 baadaye. Ukila nyama ya mtu huwezi kuacha.
Siku 2 baada ya Kasavubu kupinduliwa Mobutu akapanga njama ya kumkamata Kasavubu, Kasavubu aliposikia akataka kutoroka, Mobutu akamkamata na kumuweka Kasa-Vubu chini ya kizuizi cha nyumbani (under house arrest). Alikaa hapo kwa miezi 15 mpaka alipokubali kutangaza kustaafu siasa na kutojihusisha na siasa, akapigwa kufuli, ubaya hauozi.
Kasavubu alipewa sharti la kuishi nyumbani tu yaani katika shamba lake huko Mayombe, hakuna kutoka nyumbani bila kibali cha Mobutu. Kasa-Vubu alifariki katika hospitali ya Boma miaka minne baadaye yaani mwaka 1969, baada ya kuugua kwa muda mrefu na kukosa uangalizi. Hii ndio dhambi ya usaliti.
Naye akapinduliwa na Laurent Kabila na kufa kifo cha aibu na kuzikwa na watu wasiozidi 10 huko Morocco.Mobutu seseko kukubenga wazabanga
Kabila nae akatobolewaNaye akapinduliwa na Laurent Kabila na kufa kifo cha aibu na kuzikwa na watu wasiozidi 10 huko Morocco.
Congo kuna unyama sana, kabila si ndo naye alipigwa risasi?Naye akapinduliwa na Laurent Kabila na kufa kifo cha aibu na kuzikwa na watu wasiozidi 10 huko Morocco.
Kuna Watu wako nje ya Congo lkn wanaiongoza Congo.Congo kuna unyama sana, kabila si ndo naye alipigwa risasi?