Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,184
Nilishawahi kuweka post hapa kipindi mende wa Libya walipoanzisha vuguvugu la ukombozi wakiongozwa na NATO.
Nikasema kwa kufanikisha ufadhili wa kumtoa gerezani gaidi aliyeuwa zaidi ya watu 270 kwenye dege la PanAm Air ilikuwa ni dhambi kubwa ambayo hakika wananchi wa Marekani ambao wengi wao ni mayahudi hawakufurahia taarifa hizi. Hata pale ilipogundulika kuwa kuachiwa kwa Magrahi ulikuwa ni mpango wa Qaddafi na BP ya Scotland kunyonya mafuta ya bwerere, BP ilipatwa na mkasa mabao mayahudi pekee ndo wannaojua chanzo chake. Nafikiri sina haja ya kuzungumza kuhusu mkasa wa BP lakini sote tunakumbuka namna Ghuba ya Mexico ilivochafuliwa kutokana na kupasuka kwa bomba za mafuta ambazo wachambuzi wa mambo wanadai ni kwamba samaki wa kiyahudi walizama kwenda kuhujumu miudombinu ya mabomba kutoa funzo kwa ujinga wa Qaddafi na BP.
Tukaambiwa gaidi magrahi angekufa baada ma miezi3. Mayahudi na dunia ya wapenda amani wakahesabu siku ya kwanza mpaka 90 zikatimia. mpaka kesho. magrahi yuko hai. hajafa.
Wazungu wakanzisha fitna ambazo leo hii dunia inashuhudia kilichotokea. Alichokipata dikteta Qadaffi alistahili, tena alichelewa.
Qaddafi huyuhuyu inasemekana aliukashifu Ukristo alipokuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Uganda. MAlipo ni hapa hapa. Yametimia. Kama hajauwawa ajitikeze kama mwenzake Osama alivokuwa akifanya.
Juzi hapa dunia imeshuhudia mwanajeshi mmoja wa Kiyahudi akiachiwa kwa kubadilishana na magaidi 1000+ ya Kipalastina. Kiongozi wa Hamas alichekelea sana. Bila kujua kama 99.99% ya media ya dunia inamilikiwa na Mayahudi, kiongozi aliye mafichoni wa Hamasi aliitisha mkutano na waandishi wa habari. CNN, BBC, Aljazeera, France24, na meshirika mengine mengi ya dunia yakasitisha program zao na kurusha pumba zake. Dunia ikasimama kumtizama na kumsikiliza. Akajiona dunia iko mabegani kwake. Akapigwa picha. Akarekodiwa kwenye video, tena nyengine za High Definition. Akajitapa alivojitapa. Akatangaza Uislamu kuushinda Uzayoni na Ukristo wake. Siku mbili baadaye (leo) dunia inashuhudia mmoja wa wafadhili wa ugaidi na ujenzi wa misikiti anauwawa kama mende. Hili ni funzo. Hamas hamjashinda lolote, na hamtakaa mshinde.
Namaliza kwa kusema, kama nilivosema kwenye post yangu ambayo wengi walidai imejaa udini. Nilisema Qaddafi lazima ang'oke. Sasa ni historia.
Aliulaani na kuukashifu ukiristo alipokuwa Uganda.
Amlaaniye Israel Amelaaniwa.
Pumzika kwa mateso Qadaffi.
Nikasema kwa kufanikisha ufadhili wa kumtoa gerezani gaidi aliyeuwa zaidi ya watu 270 kwenye dege la PanAm Air ilikuwa ni dhambi kubwa ambayo hakika wananchi wa Marekani ambao wengi wao ni mayahudi hawakufurahia taarifa hizi. Hata pale ilipogundulika kuwa kuachiwa kwa Magrahi ulikuwa ni mpango wa Qaddafi na BP ya Scotland kunyonya mafuta ya bwerere, BP ilipatwa na mkasa mabao mayahudi pekee ndo wannaojua chanzo chake. Nafikiri sina haja ya kuzungumza kuhusu mkasa wa BP lakini sote tunakumbuka namna Ghuba ya Mexico ilivochafuliwa kutokana na kupasuka kwa bomba za mafuta ambazo wachambuzi wa mambo wanadai ni kwamba samaki wa kiyahudi walizama kwenda kuhujumu miudombinu ya mabomba kutoa funzo kwa ujinga wa Qaddafi na BP.
Tukaambiwa gaidi magrahi angekufa baada ma miezi3. Mayahudi na dunia ya wapenda amani wakahesabu siku ya kwanza mpaka 90 zikatimia. mpaka kesho. magrahi yuko hai. hajafa.
Wazungu wakanzisha fitna ambazo leo hii dunia inashuhudia kilichotokea. Alichokipata dikteta Qadaffi alistahili, tena alichelewa.
Qaddafi huyuhuyu inasemekana aliukashifu Ukristo alipokuwa akifadhili ujenzi wa misikiti Uganda. MAlipo ni hapa hapa. Yametimia. Kama hajauwawa ajitikeze kama mwenzake Osama alivokuwa akifanya.
Juzi hapa dunia imeshuhudia mwanajeshi mmoja wa Kiyahudi akiachiwa kwa kubadilishana na magaidi 1000+ ya Kipalastina. Kiongozi wa Hamas alichekelea sana. Bila kujua kama 99.99% ya media ya dunia inamilikiwa na Mayahudi, kiongozi aliye mafichoni wa Hamasi aliitisha mkutano na waandishi wa habari. CNN, BBC, Aljazeera, France24, na meshirika mengine mengi ya dunia yakasitisha program zao na kurusha pumba zake. Dunia ikasimama kumtizama na kumsikiliza. Akajiona dunia iko mabegani kwake. Akapigwa picha. Akarekodiwa kwenye video, tena nyengine za High Definition. Akajitapa alivojitapa. Akatangaza Uislamu kuushinda Uzayoni na Ukristo wake. Siku mbili baadaye (leo) dunia inashuhudia mmoja wa wafadhili wa ugaidi na ujenzi wa misikiti anauwawa kama mende. Hili ni funzo. Hamas hamjashinda lolote, na hamtakaa mshinde.
Namaliza kwa kusema, kama nilivosema kwenye post yangu ambayo wengi walidai imejaa udini. Nilisema Qaddafi lazima ang'oke. Sasa ni historia.
Aliulaani na kuukashifu ukiristo alipokuwa Uganda.
Amlaaniye Israel Amelaaniwa.
Pumzika kwa mateso Qadaffi.