Dhambi ni mbaya sana! Ufaransa imevuna ilichopanda

Dhambi ni mbaya sana! Ufaransa imevuna ilichopanda

wiseboy.

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
2,931
Reaction score
4,549
Wana jamvi kila utendalo hapa duniani huwa linalipwa kwa kadri ulivyotenda,rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy alipewa $ milioni 50 na hayati Gaddafi ili zimsaidie ktk kampeni zake,na walikuwa marafiki wakubwa, na Gaddafi alijua siri nyingi sana kuhusu rais Sarkozy,lakini ajabu ni huyo huyo rais aliyeongoza kihelehele cha NATO kuivamia Libya,Ufaransa chini ya Sarkozy ndo iliongoza mashambulizi ya anga dhidi ya Libya na kisha rais mnafiki yule akatuma majajusi waliojichanganya na waasi na kisha kumuua Gaddafi kwa kumpiga risasi ya kichwa,leo hii ufaransa wanalia kilio cha mbwa,wananchi wasio na hatia wamekufa kwa dhambi ambayo hawajaitenda,mataifa ya magharibi hususan Marekani,Uingereza,na Ufaransa yenyewe wamekuwa wakitengeneza silaha na kisha kuziuza kwa mataifa maskini huku wakichochea ugomvi,Marekani na kampuni lake kubwa la Martin Lockheed ndo inaongoza kufanya unyama huo,hebu ingia hapa www.who killed gaddafi?.com ndo utajua kuwa wazungu si ndugu zetu sisi watu weusi,na africa kwa ujumla.
 
kwahiyo wewe ukipewa kisu ukamchinje mzazi wako utafanya hivyo kwa sababu umeambiwa!!!!
tusikubali kutumika
 
Wale isis sio wa kuwashabikia hata kidogo maana ni mchanganyiko wa watu kwa malengo yao wanatumia dini kama kinga yao,Wavamizi wa Hotel huko Mali walikua wanaongea Kiingereza na pia yule Mchinjaji aliewachinja Mjapani,Mmarekani na Muingereza ni Raia wa UK kwa taharifa za Bbc outsource.Nasubiri Putin Rais wa Urusi atumbue jipu tutajua mengi zaidi.
 
Nani kasema mtu mweupe na mkushi ni wamoja hakika mkushi atamtumikia mtu mweupe daima na daima.
 
Wana jamvi kila utendalo hapa duniani huwa linalipwa kwa kadri ulivyotenda,rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy alipewa $ milioni 50 na hayati Gaddafi ili zimsaidie ktk kampeni zake,na walikuwa marafiki wakubwa, na Gaddafi alijua siri nyingi sana kuhusu rais Sarkozy,lakini ajabu ni huyo huyo rais aliyeongoza kihelehele cha NATO kuivamia Libya,Ufaransa chini ya Sarkozy ndo iliongoza mashambulizi ya anga dhidi ya Libya na kisha rais mnafiki yule akatuma majajusi waliojichanganya na waasi na kisha kumuua Gaddafi kwa kumpiga risasi ya kichwa,leo hii ufaransa wanalia kilio cha mbwa,wananchi wasio na hatia wamekufa kwa dhambi ambayo hawajaitenda,mataifa ya magharibi hususan Marekani,Uingereza,na Ufaransa yenyewe wamekuwa wakitengeneza silaha na kisha kuziuza kwa mataifa maskini huku wakichochea ugomvi,Marekani na kampuni lake kubwa la Martin Lockheed ndo inaongoza kufanya unyama huo,hebu ingia hapa www.who killed gaddafi?.com ndo utajua kuwa wazungu si ndugu zetu sisi watu weusi,na africa kwa ujumla.

Hii ni ujumbe wa nani Tanzania?
 
siunge mkona suala la uvamizi wa France, na ni Mkristo lakini WaLibya watambue kuwa Ghadafi ni rais aliyewasaidia sana na watajuta kukubali propaganda za kijinga. Libya haitakuwa na trend ya maendeleo haliyoanzisha Ghadaafi. Hizi ngozi nyeupe sio za kuziamini sana.
 
Hakuna wkt ghadafi amekuwa muhimu km sasa mataifa yote ulaya na marekani sasa wanasaga meno kwa wimbi la wahamiaji ambao ndani yao wapo hao ISIS. Wangekuwa na uwezo wangemfufua ghadafi leo hii aendelee kutawala milele.
 
ni udanganyifu mkubwa kufikiri kuwa Obama ni mtu mzuri kwa Waafrica zaidi ya Gadafi. Naona wa Libya nao wameanza kugundua walivyodanganyika. You need to follow sana hii habari ya Gadafi na mission zake zidi ya waafrica na wamarekani na wenzao kujua mchezo wanaotuchezea. Kwa ufupi Gadafi alichokuwa anafanya alikuwa anataka kuifanya Africa ijikomboe iwe moja na uchumi imarika na alianzia kwake. Kwa hao jamaa wakaona hii ikifanikiwa wao ndio mwisho wao kwani walishaanza kuporomoka kiuchumi.
 
tena hao ufaransa waache kulialia wakiua wanacheka wakiuawa kelele kila kona,ukitaka usiuliwe sharti ni moja tu usiue,mauaji yote yanayotokea ni matokeo ya visasi MUNGU ainusuru tanzania yetu kama kuna mtu anatutamani mana atatumaliza kama kumbikumbi
 
Naona magaidi kama kawaida yenu mnateteana, kwa taarifa yako putin kawakamua kinyesi magaidi 600 juzi na bado mtakubali.
 
Naona magaidi kama kawaida yenu mnateteana, kwa taarifa yako putin kawakamua kinyesi magaidi 600 juzi na bado mtakubali.

Hapa hakuna Ghaidi I am Christian, we are talking about world's politics, fuatilia vizuri habari za mambo yanayoendelea ulimwenguni. Ndo utajua Zaidi suala la Ghadafi na Saadam Hussein. We look beyond the Media or think outside the box, unachofikiri ni kujazwa taarfia za walidominate world's media. fuatilia utaelewa, nchi yeyote ambayo ni threatened kwa Western countries in adui. Ghadafi hakuna na unyama unaolezwa hata kama anao pia but alikuwa ni mtu aliyewasaidia na alikuwa na uchungu na walibya Zaidi ya hao waliowaaminisha wanawasaidia.
Unachoona sasa wengine wamegundua wamedanganyika wanafight back, ingawa wanafight wrong people "raia" ila wameshaumizwa na wamedanganywa
 
Ni kama mzee nyerere alivyo 2jaza miaka ile chuki dhidi ya IDD AMIN kwamba alikuwa anakula watu! na mengine mengi hadi leo watoto bado wanaimbishwa mashuleni!
 
Wana jamvi kila utendalo hapa duniani huwa linalipwa kwa kadri ulivyotenda,rais wa zamani wa Ufaransa Nicolas Sarkozy alipewa $ milioni 50 na hayati Gaddafi ili zimsaidie ktk kampeni zake,na walikuwa marafiki wakubwa, na Gaddafi alijua siri nyingi sana kuhusu rais Sarkozy,lakini ajabu ni huyo huyo rais aliyeongoza kihelehele cha NATO kuivamia Libya,Ufaransa chini ya Sarkozy ndo iliongoza mashambulizi ya anga dhidi ya Libya na kisha rais mnafiki yule akatuma majajusi waliojichanganya na waasi na kisha kumuua Gaddafi kwa kumpiga risasi ya kichwa,leo hii ufaransa wanalia kilio cha mbwa,wananchi wasio na hatia wamekufa kwa dhambi ambayo hawajaitenda,mataifa ya magharibi hususan Marekani,Uingereza,na Ufaransa yenyewe wamekuwa wakitengeneza silaha na kisha kuziuza kwa mataifa maskini huku wakichochea ugomvi,Marekani na kampuni lake kubwa la Martin Lockheed ndo inaongoza kufanya unyama huo,hebu ingia hapa www.who killed gaddafi?.com ndo utajua kuwa wazungu si ndugu zetu sisi watu weusi,na africa kwa ujumla.
Akili za kibongo kushabikia ujinga. Andamaneni kuunga mkono shambulizi hilo!!
 
Ni kama mzee nyerere alivyo 2jaza miaka ile chuki dhidi ya IDD AMIN kwamba alikuwa anakula watu! na mengine mengi hadi leo watoto bado wanaimbishwa mashuleni!

Umetisha mkuu
 
wakati ule wachezaji wa togo walivyoshambuliwa na waasi wa angola wakati michuano ya afrika inafanyika angola viongozi wa hao waasi walikuwa ufaransa na wakatoa matamko lakini sikusikia nchi yoyote ya kiafrika ikisema watu hao washitakiwe wala wafaransa hawakuwashitaki lakini hawakujua kuwa malipo ni hapahapa duniani leo wanachi wa kwao wameuawa na magaidi nashangaa viongozi wa kiafrika wanahangaika kuwapa rambirambi ufaransa lazima watambue kuwa ugaidi hauchagui
 
Ni kama mzee nyerere alivyo 2jaza miaka ile chuki dhidi ya IDD AMIN kwamba alikuwa anakula watu! na mengine mengi hadi leo watoto bado wanaimbishwa mashuleni!

Dah hii umenikumbusha nyimbo za mchakamchaka shule tuliimba,halafu baadae nikaenda kusoma Uganda nlichokikuta tofauti na nlichokuwa tukiimbishwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom