Mkuu usiwape kiburi wauwaji...hasa hawa viongozi . nakwambia tena dhambi kubwa kuliko zote ni ile ya kumwaga damu ya Mwanadamu wenzako hasa isiyo na hatia.Siyo kweli mkuu kuna watu walikuwa wauaji lkn walisamehewa mfano Musa alimuua mmisri lkn alisamehewa, Daudi na Uria lkn alisamehewa, Paulo akiwa anaitwa Sauli aliwaua wengi sana na wengine wengi lkn wote walisamehewa
Dhambi ya kumkufuru Roho pekee ndiyo haisamehewi maana unakuwa umekataa kabisa kuisikia sauti ya Mungu lkn pia umekataa uweza wake na hivyo anakuacha moja kwa moja na mtu wa namna hii kwake haoni kitu kuwa ni dhambi au kosa
MtakatifuKumkufuru roho mtakatifu ni kutosikiliza manyo yoote ya kutubu hadi mwisho wa uhai wako!!!
naomba tafsiri ya roho takatifu na Roho mtakatifuKuna roho mtakatifu na roho takatifu kwa maelezo yako hata Yesu alishukiwa na roho mtakf sio roho takatifu
Ukitubu na kujiangusha kwa Mungu Utasamehewa ila kukufuru roho mtakatifu husamehewi maishaaMkuu usiwape kiburi wauwaji...hasa hawa viongozi . nakwambia tena dhambi kubwa kuliko zote ni ile ya kumwaga damu ya Mwanadamu wenzako hasa isiyo na hatia.
Poleni ndugu wananchi Tanzania kwa msiba
On point
Sisi wanadamu tunapitiwa kweli kutenda maovu lakini Mungu hutuhurumia
Kwa upande wa ukristo Yesu aliwai kusema waweza kumkufuru Yeye lakini sio roho mtakatifu hutasamehewa hata mungu lakini sio roho mtakatifu husamehewi kamwe ulimwengu huu na ule ujao hivi nini maana ya kukufuru roho mtakatifu wajuzi naomba utatuzi....
#mfikwa
#mshana jr
#zitto jr
Nimekuelewa sana ila naomba tofauti ya kukufuru MunguMkuu Heri lee,
Kuna vitu hivi yakupasa uvitambue maana zake;-
(1) kukufuru ni neno linalo patikana kwa asili katika lugha za Semitic kama kiarabu, kiebrania, kiarmaic, nk, na maana yake ni kupinga au kukataa jambo au kumkataa mtu nk.
(2) Roho mtakatifu;- ni nguvu za utendaji wa Mungu, yaani Mungu anapotaka kufanya jambo lolote daima dawamu hutumia roho mtakatifu kwa lugha nyingine roho mtakatifu ni nguvu inayobebwa na malaika wa Mungu na ndiye yule Malaika aliyemtokea bikira Maria kumpasha habari ya kuzaliwa yesu.
(3) Kumkufuru yesu maana yake ni:- kumkataa au kumpinga yesu.
(4) kumkufuru roho mtakatifu maana yake ni:- kukataa/kupinga nguvu za utendaji za Mungu, sasa ukipinga nguvu za Mungu maana yake moja kwa moja umempinga Mungu na hapo hutasamehewa katika ulimwengu huu na ule ujao.
👆🏻Hapo Yesu alikuwa anawaambia Wana waisrael ambaye yeye alikuwa ni mtume wao (mathayo 12:24).
Roho mtakatfu kama yuko ndani ya Yesu mbona dhmb yake inasamehekaMkuu Heri lee,
Kuna vitu hivi yakupasa uvitambue maana zake;-
(1) kukufuru ni neno linalo patikana kwa asili katika lugha za Semitic kama kiarabu, kiebrania, kiarmaic, nk, na maana yake ni kupinga au kukataa jambo au kumkataa mtu nk.
(2) Roho mtakatifu;- ni nguvu za utendaji wa Mungu, yaani Mungu anapotaka kufanya jambo lolote daima dawamu hutumia roho mtakatifu kwa lugha nyingine roho mtakatifu ni nguvu inayobebwa na malaika wa Mungu na ndiye yule Malaika aliyemtokea bikira Maria kumpasha habari ya kuzaliwa yesu.
(3) Kumkufuru yesu maana yake ni:- kumkataa au kumpinga yesu.
(4) kumkufuru roho mtakatifu maana yake ni:- kukataa/kupinga nguvu za utendaji za Mungu, sasa ukipinga nguvu za Mungu maana yake moja kwa moja umempinga Mungu na hapo hutasamehewa katika ulimwengu huu na ule ujao.
👆🏻Hapo Yesu alikuwa anawaambia Wana waisrael ambaye yeye alikuwa ni mtume wao (mathayo 12:24).
Huu ni uongo kamili hakuna mafundisho ya roho kuishi baada ya kifo katika ukristo , haya ni mafundisho ya shetani ambayo alisema hakika hamtakufa mtakua mkijua mema na mabaya , imani ya umizimu imeingizwa ndani ya kanisa kwa mafundisho kama hayaKwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
Hi pia ni maana nyingine mkuu , pia nimetoa maelezo yangu hapo juuKumkufuru Roho Mtakatifu ni ile Haki ya kutokuamini licha ya kila kitu(uwezo wa MUNGU kuwekwa wazi)mf kitendo cha viongozi wa Kiyahudi kumkataa Yesu Kristo licha ya kuonyesha Miuhiza isiyo ya kawaida kama kumfufu Lazaro baada ya kuwa kaburini kwa siku 3 na zaidi,Yesu aliweza hadi kusoma Fikra na Mawazo yao juu ya wao kupanga njama za Kumua lakini walibishana na Nguvu uliyokuwa ndani yao ikiwashuhudia kwamba yeye ni Masihi.
kumbuka katika Yohana 16:9 Yesu anasema "kwahabari ya Dhambi sababu hawakuniamini mimi" na Pia Yohana 3:18 inasema ".. asiye mwamini yeye amekwisha kuhumiwa.."
kwahio Kukufuru ni Hali ya kutokuamini wokovu wa MUNGU kutipia Yesu Kristo
Sio kweli kukufuru ni kunena maneno kinyume chake na kutoa kashfaKumkufuru Roho Mtakatifu ni ile Haki ya kutokuamini licha ya kila kitu(uwezo wa MUNGU kuwekwa wazi)mf kitendo cha viongozi wa Kiyahudi kumkataa Yesu Kristo licha ya kuonyesha Miuhiza isiyo ya kawaida kama kumfufu Lazaro baada ya kuwa kaburini kwa siku 3 na zaidi,Yesu aliweza hadi kusoma Fikra na Mawazo yao juu ya wao kupanga njama za Kumua lakini walibishana na Nguvu uliyokuwa ndani yao ikiwashuhudia kwamba yeye ni Masihi.
kumbuka katika Yohana 16:9 Yesu anasema "kwahabari ya Dhambi sababu hawakuniamini mimi" na Pia Yohana 3:18 inasema ".. asiye mwamini yeye amekwisha kuhumiwa.."
kwahio Kukufuru ni Hali ya kutokuamini wokovu wa MUNGU kutipia Yesu Kristo