Dhambi isiyokuwa na msamaha( unforgiven sin)

Dhambi isiyokuwa na msamaha( unforgiven sin)

Heri lee

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
981
Reaction score
538
Poleni ndugu wananchi Tanzania kwa msiba

On point
Sisi wanadamu tunapitiwa kweli kutenda maovu lakini Mungu hutuhurumia
Kwa upande wa ukristo Yesu aliwai kusema waweza kumkufuru Yeye lakini sio roho mtakatifu hutasamehewa hata mungu lakini sio roho mtakatifu husamehewi kamwe ulimwengu huu na ule ujao hivi nini maana ya kukufuru roho mtakatifu wajuzi naomba utatuzi....

#mfikwa
#mshana jr
#zitto jr
 
Kwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
 
Poleni ndugu wananchi Tanzania kwa msiba

On point
Sisi wanadamu tunapitiwa kweli kutenda maovu lakini Mungu hutuhurumia
Kwa upande wa ukristo Yesu aliwai kusema waweza kumkufuru Yeye lakini sio roho mtakatifu hutasamehewa hata mungu lakini sio roho mtakatifu husamehewi kamwe ulimwengu huu na ule ujao hivi nini maana ya kukufuru roho mtakatifu wajuzi naomba utatuzi....

#mfikwa
#mshana jr
#zitto jr
Hii ni kwale ambao Roho mtakatifu amejidhihirisha kwao na akapata kuwafunulia siri ya Matendo ya Mungu ambayo yanaonekana katika ulimwengu wa Roho . Sasa badae wakaja wakakengeuka wakaacha imani na wakawa watenda uovu
 
Kwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
Kwahio kujiuwa ndio kukufuru roho Roho mtakatifu
 
Kwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
Daah aisee
 
Kwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
Mmmh, sio kweli Biblia inasema wazi kwamba ni Roho Mtakatifu ikimaanisha Roho ya Mungu mwenyeww, wewe unasema roho takatifu ni roho za binadamu wapi na wapi? Biblia inaposema Roho Mtakatifu haizungumzii roho ya binadamu, kwa hyo dhambi ya kumkufuru Mungu haitasamehewa labda turudi kwenye neno la kiswahili maana ya kukufuru au kiingereza blasphemy, lakini ukweli utabaki pale pale Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe
 
Kwahio kujiuwa ndio kukufuru roho Roho mtakatifu
Hapana mkuu,kujiua sio kumkufuru roho mtakatifu,mfano tuseme yesu...yeye ni roho mtakatifu,sasa weka mfano kumkufuru yeye
 
Kwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
Umeng'ata na kupuliza umeanza kama shahidi wa yehova umemaliza kama mkatoliki ila naomba uprove kuwa hakuna roho mtakatifu
Kwanza Hakuna roho mtakatifu Kuna roho takatifu
Nikirud kwenye swali lako.unapaswa ufaham kwanza Kama roho hio takatifu ndio inaoleta uzima.sasa kwa kuwa watu wengi hukutwa na kifo kwa SABABU tu ya makosa yao yaani dhambi zao.maana mshahara wa dhambi Ni mauti.hakuna ushahidi kuwa wale wakamilifu wasio tenda dhambi huwa wanakufa roho.wenyewe waga wanachukuliwa roho zao hizo TAKATIFU na kupelekwa SEHEMU NYINGINE.kwa hiyo roho za watenda dhambi huwa zinachoshwa na uovu kiasi kwamba matokeo yake huwa kifo ..yaani Ni Kama ile SAA unayotoa bao unaona jinsi usivyoweza kurudisha wazungu ndani ikitoka imetoka kuwazuia Ni haiwezekan ndo maana halisi ya kuiua roho yaani umeitesa roho kiasi kwamba imeona inatosha kwa hiyo matokeo ya kifo ndo kitu kisichosamehewa you can't reverse the action..ila kwa watenda mazuri wao huwa hawafi.mkiwa mnazika mwili mwenzenu huyo bado mzima bado anaishi na watakatifu wengine na MUNgu..hivyo ndivyo nijuavyo mimi.kutosamehewa is all about death
Umejaribu kuwa J.W lakini ukamalizia kwa kwenda kinyume na mnara wa mlinzi
 
Kumkufuru Roho Mtakatifu ni kukata tamaa. Hii ni sawa na kuweka ukomo wa nguvu za MUNGU na kusema hawezi kukuvusha. Ni sawa kabisa na kusema MUNGU hayupo.

Kumkufuru Roho Mtakatifu (Kukata tamaa) ndiyo dhambi isiyosameheka duniani wala mbinguni....Wajuvi zaidi wataendelea. Asante.
 
Kumkufuru Roho Mtakatifu ni kukata tamaa. Hii ni sawa na kuweka ukomo wa nguvu za MUNGU na kusema hawezi kukuvusha. Ni sawa kabisa na kusema MUNGU hayupo.

Kumkufuru Roho Mtakatifu (Kukata tamaa) ndiyo dhambi isiyosameheka duniani wala mbinguni....Wajuvi zaidi wataendelea. Asante.
Hapana aiseeee... Mi naona kama mtu akisema mwenyewe directly kuwa yupo against the holy spirit then hio ndio dhambi. Sio kukata tamaa. Kama ndio hivyo bhasi tangu nizakiwe mpaka Leo hamna atakaeenda mbinguni cause wote nilishawaona wakikata tamaa. In fact hamna binadamu asiokata tamaa. That's how Good created us, asingeweka kitu natural to us kama law kuwa tukivunja then hatusamehewi.

This topic sijawahi ifikiria Sana since God is a complicated... But to rule that out, kukata tamaa sio dhambi. Then hamna anaeenda Mbinguni. Mimi ni Askari hodari wa Yesu Kristo, despite my flaws. Najirekebisha

-callmeGhost
 
Poleni ndugu wananchi Tanzania kwa msiba

On point
Sisi wanadamu tunapitiwa kweli kutenda maovu lakini Mungu hutuhurumia
Kwa upande wa ukristo Yesu aliwai kusema waweza kumkufuru Yeye lakini sio roho mtakatifu hutasamehewa hata mungu lakini sio roho mtakatifu husamehewi kamwe ulimwengu huu na ule ujao hivi nini maana ya kukufuru roho mtakatifu wajuzi naomba utatuzi....

#mfikwa
#mshana jr
#zitto jr
Kumkufulu Roho Mtakatifu hii ni dhambi hali ya kutotubu dhambi zako ndo kumkufuru Roho Mtakatifu na hapo kweli usipotubu dhambi basi uwezo kusamehewa
 
Kuna maelezo marefu, ila kwa kifupi nikupe mfano, kama kuna ofisi fulani na ili kuingia kwa boss ni mpaka secretary akuombee ruhusa kwake, sasa hapo tufanye boss ndio destination la maombi yako, na secretary ndio huyo Roho, yaani ili maombi(ikiwepo ya msamaha) yakubalike mbinguni ni Roho Mtakatifu ndio ambaye huwa anatuombea maana sisi kama wanadamu huwa tunakosea sana kuomba. Sasa ukimkufuru Roho ni sawa na kuvunja daraja,hakuna ombi litafika panapostahili na hata ile hali tu mtu kuomba toba haiwezi kuwepo maana ni huyuhuyu Roho ambaye huwa anatukumbusha tulipokosea na kuomba toba.


"Kadhalika Roho naye hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa".
Warumi 8:26
 
Back
Top Bottom