Wont be the same
JF-Expert Member
- Aug 15, 2024
- 1,564
- 2,483
Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) bara Devotha Minja ameeleza kuwa malengo makubwa ya chama hicho ndiyo yamemvutia kujiunga na chama hicho.
Devotha ameeleza hayo akitanabaisha malengo hayo siku ya Jumatano Mei 21, 2025 wakati wa Mkutano mkubwa wa mapokezi ya wanachama wapya wa chama hicho uliobatizwa kama Grand Reception ' unaofanyika Ukumbi wa Ubungo Plaza mkoani Dar es Salaam.
Pia soma Pre GE2025 - Boni Yai: Devotha Minja alituma vitenge vya CHAUMMA kwenye group tukamtoa
Devotha ameeleza hayo akitanabaisha malengo hayo siku ya Jumatano Mei 21, 2025 wakati wa Mkutano mkubwa wa mapokezi ya wanachama wapya wa chama hicho uliobatizwa kama Grand Reception ' unaofanyika Ukumbi wa Ubungo Plaza mkoani Dar es Salaam.
Pia soma Pre GE2025 - Boni Yai: Devotha Minja alituma vitenge vya CHAUMMA kwenye group tukamtoa