Habari zilizotufikia Mdaa huu kutoka ndani ya Chama cha Nccr Mageuzi zinatanabaisha kuwa Devid Kafulila Amechukua fomu ya Katibu Mkuu wa Chama hicho Makao makuu ya Chama hicho
Team ya Wanahabari Huru inamtakia kila la Heri katika uchaguzi wao
Hata kama ana ujuzi atapata wapi ajira wakati serikali haihajiri. Mashirika binafsi inafukuza watumishi. Hakuna Mazingira bora ya kujiajiri. Infact, kila kona kumebana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.