Deutch Welle yaanza uchochezi

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
24,025
Reaction score
42,349
Kituo cha habari cha DW kimeanza tena uchochezi wake. Hii si mara ya kwanza kwa kituo hiki kikubwa cha habari nchini kuingilia mambo ya ndani ya serikali. Mara nyingi sana kimekua kikimfukunyua mtukufu rais wetu mpendwa na nchi yetu kwa ujumla.

Nawaomba watanzania wenzangu tuungane kwa pamoja kukipiga vita hiki kituo cha habari maana kinaweza kuleta machafuko kwa habari zake za uchochezi.
 
"kalibun"....we kunywa tu!..Kuna maeneo Mkulu anazingua!..na kuna maeneo "anasema ukweli mchungu"
 
Mkuu umeishia la ngapi..

1.Dw kipo nchi ni? ?
2.Uchochezi wake ni upi?
 
Nini walichokisema ambacho wewe unadhani sii kweli?
 
Ulidhani kila MTU ni Uhuru na Mzalendo??Nenda kafie mbali waache waseme ujinga wenu
 
Hahaaa mkuu
unkunywa juisi magogoni huku unapungwa upepo

Juisi zimeanza lini?

Nasikia kwenye hafla ni mwendo wa madumu ya chibuku
 
kalibuni=karibuni
acha kutuharibia lugha yetu ebooo!
 
eti 'kalibuni' nakunywa juice!
 
Uchochezi ni nini? Hilo neno uchochezi linatumika vibaya sasa,inapaswa Neno uchochezi lilaniwe maana sasa Neno Uchochezi linatumika kuharalisha uzushi,Uonevu na hata Uongo kila mjinga akiona CCM inakosolewa anakimbilia kukariri Neno uchochezi, tambua kuwa Watanzania wa sasa wapo makini kwani hawachochewi kirahisi pasipo kutafakari hivyo Neno uchochezi hawalitaki maana halina maana yeyote kwenye kipindi hiki cha njaa na uonevu wa kuzuia mikutano ya siasa.
 
Ni wajinga pekee wamekariri Neno Uchochezi pindi wenye mawazo chanya wakiwakosoa CCM,wale wenye Akili hawawezi kuamini Neno Uchochezi kwenye issue ya kudai Haki.
 
Idhaa ya kiswahili wajanja, wanatafuta stori za kitanzania za kuwaweka hewani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…