Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Nimegundua kwamba watu wanalishwa matapishi na magazeti na wanayameza kama yalivyo.
And for that i think ndo maana wanasiasa baadhi wasio na uelewa wa kutosha wanagombana na Waandishi wa habari mara kwa mara.