Habari wadau wa JF,
Aliyekuwa Mwanachama wa CHADEMA Deus Mallya,aliyepata ajali na Hayati Chacha Wangwe mwaka 2008, ajali iliyosababisha kifo cha Wangwe ametangaza hadharani kwamba amejiunga na ACT wiki ijayo atatoa sababu za kuondoka CHADEMA. Nanukuu.
"Baada ya kushauriana na Watu wangu wa karibu, wakiwemo ndugu, jamaa, marafiki na familia yangu nimeamua kujiunga na chama cha ACT-Wazalendo. Week ijayo nitatangaza wazi azma yangu hiyo mbele ya vyombo vya habari na na pia nitaeleza sababu za kuamua kuachana na CHADEMA"
Mwisho wa Kunukuu.
Na yeye akatekeleza si ndivyo?Inasemekana(tetesi) alitumwa na mbowe kumuua Wangwe
Inasemekana(tetesi) alitumwa na mbowe kumuua Wangwe
Kwa mwendo huu ACT itachukua dola
Huyu Mbowe anaweza "kummaliza" muda wowote, ana siri kubwa sana kuhusu kifo cha Chacha.
Kwa hiyo sifa yake kuu ni kupata ajali na Chacha Wangwe?
Hahaha...imenibidi kucheka tu
Kwa mwendo huu ACT itachukua dola
Birds of the same feather flock together, bado Joseph Ludovick soon atawa join wasaliti wenzake.
Birds of the same feather flock together, bado Joseph Ludovick soon atawa join wasaliti wenzake.