Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Deus Kibamba ni mwenyekiti wa jukwaa la katiba, naomba kuuliza tafuatayo
1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?
Asanteni sana
1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?
Asanteni sana