Deus Kibamba ni nani?

Deus Kibamba ni nani?

Nduka Original

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2010
Posts
1,012
Reaction score
817
Deus Kibamba ni mwenyekiti wa jukwaa la katiba, naomba kuuliza tafuatayo

1. Jukwaa la katiba ni nini?
2. Lina nguvu gani kisheria?
3. Linamuwakilisha nani?
4. Nani kamchaguwa kwenye cheo chake?
5. Background yake ikoje?

Asanteni sana
 
Nadhani umeuliza baada ya kumuona anatema cheche star tv.mwenye majibu atusaidie hapo.jamaa yuko fiti sana,anajiamini.
 
Nadhani umeuliza baada ya kumuona anatema cheche star tv.mwenye majibu atusaidie hapo.jamaa yuko fiti sana,anajiamini.
 
Kuna utaratibu mpya umezuka siku hizi Tanzania. Mtu yeyote anayetetea HAKI na Watanzania wanyonge basi ni CHADEMA.

Kama huo ndiyo mtazamo wa Watanzania siku hizi, basi CHADEMA ni chama cha HAKI NA WANYONGE.

Na sioni CCM itatokea tundu gani? UDINI? UKANDA? U-DR. SLAA?
 
Deus Kibamba ni jembe sana,jamaa anawaumbua wachumia tumbo sana,ningependa hilo jukwaa la katiba awe mwenyekiti wa kudumu maana jamaa yupo kimaslahi ya taifa.
 
Back
Top Bottom