Nchi..hii ukifatilia watu wanaodhaniwa kuwa wachambuzi unaweza kupata wazimuNimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?
Acha tu ndugu yangu....ikitokea akaaulizwa Swali linalohusu mambo ya hapa kwetu utaona atakavyo jiuma..Tunasafari ndefu sanaManake hadi ahamie habari za Zambia ina maana hapa kwetu kuko 'shwaari kabisa'
ndo linalo nishangaza
Huyo ni wakala wa kanisa, alitumwa kumchosha JK, muhula ulipoisha na yeye kazi yake imeishaNimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?
Huyu jamaa ana confidence na yuko vizuri... Kama umeanza kumfuatilia muda utajuaAcha tu ndugu yangu....ikitokea akaaulizwa Swali linalohusu mambo ya hapa kwetu utaona atakavyo jiuma..Tunasafari ndefu sana
Mkuu umeelewa vzr kilichoandikwa?Huyu jamaa ana confidence na yuko vizuri... Kama umeanza kumfuatilia muda utajua
Duh! Halafu jamaa nilishaanza kumsahau, kumbe bado yupo.....!?Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?
Unaonekana unajua mengi, tuambie wakala wa misikiti kwenye utawala wa Magufuli ni nani.?Hu
Huyo ni wakala wa kanisa, alitumwa kumchosha JK, muhula ulipoisha na yeye kazi yake imeisha
Kwa hiyo siku hizi mnawapangia cha kuzungumza? Kama hakuna cha kuzungumzia Tanzania ni lazima azungumze?Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?
Kwa hiyo siku hizi mnawapangia cha kuzungumza? Kama hakuna cha kuzungumzia Tanzania ni lazima azungumze?Nimeshangaa kumuona Deus Kibamba yuko Azam Two akizungumza kuhusu uchaguzi wa Zambia
nimejiuliza maswali kibao...
Ya Tanzania yoote yanayotokea 'hayaoni'?
Kwani huyu Kibamba kazi yake ya kila siku
'daytime job' ni ipi?
anaishi vipi?
Analipwa na nani kwa kazi zake hizi?
Why now yuko kiimya na Magufuli?