Desturi za wasukuma

Uongo niliwahi kuwa na msukuma tabia zake zilizokuwa zinanikera ni kufuatiliwa basi ila mengi raha tu anajua kupenda kutunza sana . Hana tabia kama hizo .
Saa ya chakula mtakula wote na kukulisha anakulisha na anakuwa nawewe kila saa sasa hizo tabia nasikia leo.
Baba yake hana tabia hizo so labda kijijini
 
Hutaki kufatiliwa.. ili ujivinjari na wadau
 
Hapo kwenye kusalimia kisukuma.....
Hata tukutane mlimani City, ni mwangaluka/mwandela (wakubwa tunawapigia goti)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…