Wasukuma sisi kwenye kura daah kiboko, nimejionea kijijini uko butundwe daah kiboko wale wanaume wanakula asee,,,kila mgeni akitembelea boma anapikiwa ugali mkubwa aijarishi amefika mda gani atapikiwa tu,,,na wana umoja balaa,,,,suala la bajeti kwa wasukuma sisi ni mwiko,hakuna bajeti ,,hakuna kupima eti unga wa ugali ahahah ni kuchota,,,na kikibaki hawali viporo wanamwaga wanapika kingine