Desktop Software mbadala ya Blackberry

Buyaka

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
1,643
1,786
Ndugu wana JF, nawasalimu katika jina la harakati za teknolojia.

Nina blackberry mpya, lakini niko disappointed kupita maelezo.
Nimemiliki vimeo vya Nokia, LG, na Samsung, n.k. ambavyo vilikuwa vinaweza kufanya mambo madogo madogo ambayo Blackberry na u-smart phone wake inachemka kabisa. Yako mengi lakini kwa mfano, haiwezekani kuunganisha simu yangu kwenye computer na kuona na kuandika text message au ku edit contact list kupitia computer na hivyo kurahisisha process nzima. Software ya ku install kwenye computer inayokuja na blackberry (BB Desktop Software) ni upupu mtupu, haiwezi hata kusoma contact list, achilia mbali ku edit.

Je kuna mtu anajua software yeyote mbadala inayoweza ku connect na blackberry na kusoma, kupokea, na kutuma text message kutumia computer?

 
Mkuu ipo nayotumia ilikuwa kama yakwako ya zamani lakini nilipo update ikaja mpya naninawezakuifanya nitakavyo hadi kuifanya modem!!update mkuu
 
Ndugu wana JF, nawasalimu katika jina la harakati za teknolojia.

Nina blackberry mpya, lakini niko disappointed kupita maelezo.
Nimemiliki vimeo vya Nokia, LG, na Samsung, n.k. ambavyo vilikuwa vinaweza kufanya mambo madogo madogo ambayo Blackberry na u-smart phone wake inachemka kabisa. Yako mengi lakini kwa mfano, haiwezekani kuunganisha simu yangu kwenye computer na kuona na kuandika text message au ku edit contact list kupitia computer na hivyo kurahisisha process nzima. Software ya ku install kwenye computer inayokuja na blackberry (BB Desktop Software) ni upupu mtupu, haiwezi hata kusoma contact list, achilia mbali ku edit.

Je kuna mtu anajua software yeyote mbadala inayoweza ku connect na blackberry na kusoma, kupokea, na kutuma text message kutumia computer?

Wewe utakuwa unatumia BB desktop software versio za zamani, go to BB site and download the latest one
 
Analosema ni kweli mimi nna desktop software ya bb version 7.0 bundle 1346 ambayo ni mpya kabisa na simu yangu ni BB9900 na yenyewe ni latest, lanini haifanyi hayo anayosema Bu'yaka.

Kuhusu "ku edit contact list kupitia computerbook", unaweza ukai "sync" BB yako na contact list ya kwenye kompyuta yako na ikawa una "contacts aina moja tu, kwenye kompyuta na simu, hii ni nzuri sana, nimeipenda kwani contacts zangu zote za email, za sim, za kawaida nnazo kotekote saa yoyote na unapobadili ya kopmyuta ukiunga simu ian sync "automatik" na inakuuliza kama unataka ku "change" na kwenye simu pia. Hii ni "feature" nzuri sana, na nnaipenda imenirahisishia kazi ya ku "update" contacts zangu.

Hiyo ku texts sms kutoka kompyuta sijaiona, lakini naona ni rahisi zaidi ku "text" sms kutoka bb kuliko kompyuta, kumbuka keyboard ya BB ni rahisi sana kuitumia kuliko ya Nokia, Samsung au LG, ina maandishi vifungo vikubwa, ina back light (kwa hiyo hata gizani ni poa tu) kwa hiyo kwangu naona ni bora ku sms kutumia BB na haina umuhimu sana wa mimi ku text kutumia kompyuta. Na kuna "application" una download ina zi save "sms" zako zote kwenye kompyuta.

Ni vyema tukajulishana maujanja ya kutumia hivi vidude. Kuhsu "contacts" nadhani umeelewa.
 
Back
Top Bottom