Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
WOS
usisahau pia baada ya kufanya hiyo plastic surgery ya punani nerve endings zinaweza zikapungua nguvu zake au kufa kabisa na mama asiwe anahisi chochote wakati wa tendo la ndoa. SteveD hata wanaume wako pia wanaojuta baada ya kufanya hayo madudu. Wengine wakishafanya basi shughuli hazisimami tena hapo unaweza kulia kilio cha mbwa mdomo juu, unarudi kwa daktari anahangaika nayo lakini hakuna improvement yoyote ile.
---BAK, je baada ya miaka 120 procedure hiyo itakapokuwa improved zaidi na kuanza kuonekana inamanufaa katika kulinda mahusiano, kuwawezesha watu wajisikie vizuri.... huoni kama hao wanaofanya hivyo watakuwa ma-pioneer wa wajuu zetu huko mbeleni?
---Watu waliopata watoto kwa njia za mirija "test tube" babies na wale waliojitolea operation za mioyo wakati wa uasisi wake, si ndiyo walio pave development ya tiba mbadala na maendeleo karika utabibu miaka ya hivi karibuni?...
SteveD.