Design simple za Nyumba vyumba 2

Acha kejeli, sio vizuri na si busara unavyofanya.
Hakuna kejeli hapo wala dharau labda uwe hujapitia maoni mengine ya wadau. Posts kama zile za kibiashara lazima watu watakuwa na maswali au kutaka kuwasiliana na mtoa mada. Sasa ukiingalia post ile na kusoma maoni ya wachangiaji utaona wengi walikuwa na hamu ya kujua bei, walipo wenye biashara, aina nyingine ya bidhaa, nk. Lakini hakukuwa na majibu na wengi wakawa wanashangaa inakuwaje unatoa mada ya kibiashara halafu unapotea wakati wateja wanakiu ya bidhaa yako. Hivyo mimi kudhani kuwa inawezekana mtoa mada kakopi mahali lakini siye mjenzi au mwqenye biashara. Kama unajua kiswahili vizuri utaona nimeanza na neno "Inawezekana" kwahiyo sikusema wamekoipi kwa asilimia 100. Hiyo pia ilikuwa mbinu ya kuchochea mtoa mada ili arudi kujibu maswali. Ningeandika kwa kiingereza ningesema "May be.."
 

Heshima kwako, Pamoja sana, Asante!!
 
Mbona namba ya simu kaweka? Na anajibu maswali ya watu? Acheni tabia ya kuwakatisha tamaa watu, ukiwa serious humuulizi maswali hapa utampigia.
Alifanya hivyo baadaye lakini mwanzoni hakutoa chochote ndiyo maana wattu wakawa wanamtafuta na huenda alirudi baada ya watu kulalamika sana, Kumbuka nami nilikuwa namjibu mdau aliyekuwa anatafuta majibu kutoka kwa mtoa mada. Ukisoma maoni ya wachangiaji wa mwanzo utaona jinsi walivyokuwa wanahangaika. Na mimi nikasema :Inawezekana" neno hilo halina maana ya kuwa nilivyosema ndivyo ilivyo nami nikiwa natafuta mtoa mada. Kwa kiingereza ningesema "May be..." Hivyo sikuwa na nia ya kumkatisha tamaa ndio maana hoja yangun huenda ilichangia kumleta mtoa mada na kuanza kujibu maswali. Kuna watu ambao hutoa mada na kupotea hasa zile za kibiashara hivyo wanaporudi wanakuta wateja wamehangaika sana kupata majibu ambapo wakati mwingine wateja wenyewe huanza kutoa majibu wakati mwingine yakiwa siyo sahihi hii ni kwasababu ya mtoa mada kupotea kwa muda.
 
Mkuu. Nini maana ya kirefu cha BOQ ?.
Asante kwa maelezo yako ila usikimbie jukwaa , please endelea kujibu maswali ya raia.

BOQ -"Bill of Quantities">>Singular & Plural >>>"Bills of Quantities".Naomba kuwasilisha jibu
 

Duh, bati 38? bati gani mkuu?
Unajitahidi sana kubuni mkuu, ramani zako naona ziko original na zinavutia.
Kajumba ka vyumba vitatu, kadogodogo lakini master iwe pana kidogo, pia madirisha huwa napenda narrow windows, kuna nyumba moja niliwahi kuona, madirisha yalikuwa narrow kiasi kwamba ukubwa wa dirisha kubwa umegewanya na kuwa vidirisha vitatu vidogovidogo virefu ilinivutia sana, hauna mfano wowote wa namna hiyo mkuu? Na je gharama zako zikoje kwa mchoro wa vyumba vitatu?
 

Tumia simu iliyowekwa hapo.
 
Mkuu. Nini maana ya kirefu cha BOQ ?.
Asante kwa maelezo yako ila usikimbie jukwaa , please endelea kujibu maswali ya raia.

The bill of quantities (sometimes referred to as 'BoQ') is a document prepared by the cost consultant (often a quantity surveyor) that provides project specific measured quantities of the items of work identified by the drawings and specifications in the tender documentation. The quantities may be measured in number, length, area, volume, weight or time. Preparing a bill of quantities requires that the design is complete and a specification has been prepared.
 
Hii Ramani tafadhali atupie Floor plan yake. Ili tuweze kuona plan yake. Tusiishie tu kuisifia ni Nzuri bila ya Kuona FloorPlan yake.
 
Hii Ramani tafadhali atupie Floor plan yake. Ili tuweze kuona plan yake. Tusiishie tu kuisifia ni Nzuri bila ya Kuona FloorPlan yake.

I am sory sitoweka floor plan online. Tumia contact zilixotolewa hapo.
 
Ifuatayo ni ya vyumba vitatu baada ya maombi ya wengi kuona sample itakuwaje kwa vyumba vitatu ndio iyo hapo chini
 
Vyumba vitatu. Plot ya 20 kwa 20 inatosha. Ukubwa wa nyumba ni 10.0x11.6m. Kuna berdoom size 2.8x3.0m, bedroom size 2.8x3.0m, kitchen size 2.5x3.0m, master bedroom size 3.0x4.0 na lounge/sitting room size 4.0x4.0m. Store room size 1.5x2.8m.
Kwa kujipatia michoro ya ujenzi contacts juu ya picha.
 

kwa muuza samaki ja mie!! sijui,

lbd Neema ya Mungu tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…