Happy Birthday Derimto!!
Usiwe unapotea sana bwana, hadi nilitaka kukusahau jamani!!!
Au uwe unaaga basi, kama umeenda Loliondo.
Bado nakagua ninakoumwa best ndiyo nianze kwenda kupanga foleni ya kikombe ila nachangisha nauli kama vipi mchango wako unitumie kabisa ili nikishajua naumwa nini nianze safari ngoja nimuulie wangu wa moyoni MJ1 akikubali nimchukue tukapate kikombe