Dereva wa mwendo kasi'

Dereva wa mwendo kasi'

jesikaaaaaaa a.k.a kilazaaaaa wa joniiii mla ktmt
JOYCE bana unampenda sana mzee naona hata ID yako umemtaja kiduchu Freeland malizia tu Freeman.

Hahahahhahahahha!!!
 
Nimesoma haya:

1.Dereva wa kwanza: milango na madirisha vilikuwa vimefungwa

2.Dereva wa pili:Abiria nao nao tulipewa ruksa ya kufanya lolote lile ndani ya gari. Ukae, usimame, ulale kwenye siti vyote ilikuwa ruksa kwa abiria yoyote yule kufanya.

3. Dereva wa tatu:Mara nyingi hakutaka kusikia maelekezo kutoka kwa kila abiria zaidi ya otingo na wasaidizi wake wengine.

4.Dereva wa nne:Ilifika mahala akawa anaipaki gari pembeni na kwenda kupiga stori na wale watu wenye magari makubwa huku abiria wake wakiwa wanahisi njaa na kiu ndani ya gari.

5.Dereva wa tano:Tunaianza tena safari yetu tukiwa na dereva wetu mpya aliyepachikwa jina la "DEREVA WA MWENDO KASI".
 
JOYCE MUKYA naye kaingia.

Teh teh teh!
Naona konda umeachwa umeamua kupiga makelele hili basi dereva wake ni wa mwendokasi, abiria tulikwambia konda funga mkanda wewe ukabaki unaning'inia mlangoni. Sasa kimekukuta kelele za nini
 
Kumjadili muanzisha mada ni dalili ya kutoelewa alichoandika, tuna chuki naye au mapenzi yaliyopitiliza kwa dereva wa mwendo kasi?
 
Tushapata ajali na ndio basi lenyewe
 
kuna uzi uliletwa hapa kuwa mzee lowaxa anampango wa kumhujumu jpm kupitia jamiiforum, na kuu ni kumrudisha lowaxa relini. katka kikao hiki kilihudhuliwa na mike mushi, godlisten malixa (mwanahabari huru), spenxer lamek, fred lowaxa & company. kwa kwl malisa unajitahdi sana kuanzisha nyuzi za kipuuzi hapa ndipo ninapoona matokeo ya kikao hicho.
 
Mbaya zaidi wanatimua mpaka Abiria mwendokasi ni hatari sana
Hahahahahaaaa hii ishu inanikumbusha shairi moja niliwahi kulisoma nlipokuwashule liliandikwa marehemu prof Mwaikusa, linahusu daktari wa meno mmoja aliyetegemewa kutibu maradhi ya meno kwa wagonjwa badala yake alipoanza kazi akang'oa meno yote mazima na yaliyokuwa na hitilafu na kuwaacha wagonjwa vibogoyo. Mwendo kasi nomaaa
 
Tuliza hasira mkuu! Hata hadithi ya dereva unakuja juu namna hii? Au wewe unamjua huyo dereva anayezungumziwa hapa ili tumshauri apunguze mwendokasi au awe makini na sheria za barabara asije tuangusha sote?
Ujumbe mahsusi kwa ajili ya huyo bwana mdogo Mwanahabari, huwa anapenda sana sarcasm lakini haiwezi.
 
Back
Top Bottom