Dereva wa mwendo kasi'

Dereva wa mwendo kasi'

Sijui tupo kwenye Yutong au Marcopolo? I wish tupo kwenye gari ya mjerumani a bit ipo strong and probably tutafika salama. Otherwise huko tuendapo tukikutana na dereva wa gari ya magazeti au njia tuendayo tukikuta kuna 'mashindano ya magari ya Formula 1 au Langalanga' sijui nini kitatokea.
 
Mimi nikipanda basi,dereva akasema tumuombee halafu akakanyaga mafuta mpaka mwisho bila kujali matuta wala kona kali hapo najua ni suicide mission!
Possibility ya kufika salama ni 1% na ndio maana anasisitiza sala!
Umenena mkuu
 
Huo muda uliyopoteza kuandika hizi pumba si bora ungeutumia hata kwenye kilimo cha nyanya au kufuga hata mayai ya kwale.
Kodakata lazima amtete dereva wa mwendo kasi je abiria watafika salama?
 
Huo muda uliyopoteza kuandika hizi pumba si bora ungeutumia hata kwenye kilimo cha nyanya au kufuga hata mayai ya kwale.
Sawa Jesca tumekusikia ni pumba lakini zinakufanya unaweweseka kama kuku mwenye kideri
 
Back
Top Bottom