Dereva wa mwendo kasi'

Dereva wa mwendo kasi'

Hizi habari mbaya sana kwa vijana vilaza wa lumumba huu dereva wa mwendo kasi safari yake hatofika salama ameshaanza kupoteza mwelekeo
 
Ha ha ha ha ha BabJesca kabadili mwendo kasi tena. Vijana mtamuua baba wa watu.

Eeeeet nimesikia kwa skendo hii BabaJesca sikuizi analala mzungu wa nne, kila akikgusa mamaJesca anampiga kipepsi

#KwaHisaniYaWatuWaLowassa
 
mkuu umesahau kuwa kuna abiria mmoja alikuwa kwenye hii gari akawa anang'ang'ania sana apewe yeye usukani, lkn dereva yule akawa hamtaki akamwambia "ww ulipokuwa utindo ulikuwa unaiba sana nauli, kwa hiyo nikikukabithi udereva, utang'oa matairi, utauza engine hadi stering " cha ajabu abiria wengine wakawa wanapiga kelele na kutaka huyu abiria mwenzao ndo akabithiwe usukani . hatimaye tulipofika dodoma yule abiria akazira safari na kushuka kwenye gari na kusema "dereva anapendelea sana baadhi ya abiria kwenye gari yake kwa hiyo mm bora nishuke kwenye gari yake na kwenda kupanda gari nyingine" alijaribu kutembea kwa mguu kwa muda wa siku kadhaa hatimaye akapata kausafiri ka GUTA, kwa sasa mwenzetu yuko karibu kufika safari yake kwa sababu anakoenda si mbali ni hapo tu karibu MONDULI tena hana haraka yoyote kwasababu anakwenda KUCHUNGA NG'OMBE wake, ila kiukweli huyu abiria enzi za utingo wake alikuwa anaiba sana nauli. ALIKUWA MWIZI WA KUTUPWA.
 
Mimi nikipanda basi,dereva akasema tumuombee halafu akakanyaga mafuta mpaka mwisho bila kujali matuta wala kona kali hapo najua ni suicide mission!
Possibility ya kufika salama ni 1% na ndio maana anasisitiza sala!
 
Back
Top Bottom