Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Katika sakata la Mbowe kushambiliwa Mguu wake ninawashauri "makamanda" watanue akili na kujiuliza Dereva wake alikuwa wapi wakati Mbowe anapanda ngazi ya mlango wake?
Alimshushia nje ya geti?
Nani alifungua geti gari likaingia ndani?
Kuna maswali mengi zaidi ya majibu.
Katika sakata la Mbowe kushambiliwa Mguu wake ninawashauri "makamanda" watanue akili na kujiuliza Dereva wake alikuwa wapi wakati Mbowe anapanda ngazi ya mlango wake?
Alimshushia nje ya geti?
Nani alifungua geti gari likaingia ndani?
Kuna maswali mengi zaidi ya majibu.