Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Haya endeleeni kuchangia, tume imeundwa wataalam wamechunguza na imeoneka dereva wa Dr. Mwakyembe alikuwa na makosa, aliendesha gari kwa speed anatakiwa apelekwe akajibu mashitaka. MIMI NILIJIULIZA SANA INAKUWAJE UGONGWE KWA NYUMA NA GARI AMBALO MWENDO WAKE NI MDOGO KILINGANISHA NA LA KWAKO? Haya siju huyu dereva katumwa na mafisadi?????