myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 148,951
- 660,583
AiseeWana stress hai za malipo.
Na sikunhiiz wana kautaratibu kabaya sana. Ukienda kukaka ticket wanakuambia auwape 250 maana hawataki kusumbuka kutafuta chenji.
Ushauri wangu kwa serikali ni kwamba, zile kazi za kukata tiket na ku scani kwakwel inabid wapewe viwete na walemavu wengine ambao wanamudu kufanya.