Dereva Pikipiki anapatikana hapa

Dereva Pikipiki anapatikana hapa

Imphuvyi

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2018
Posts
224
Reaction score
155
Habari za wakati huu wakurungwa!

Rafiki yangu ana uhitaji kwa pikipiki ya kuendesha kwa mkataba.

Anaishi mbagara, ni mtu wa singida,
Ana umri wa miaka 32

Kwa yeyote ambae anafanya biashara za aina hii, na ana pikipiki imepaki, naomba amsaidie ampatie chombo wafanya kazi

Namba yake ya simu 0655653499. Jina laki ni JUMA.

Nawasilisha
 
Andaa 500k nikupe pik pik ya mkataba, hyo laki tano ni malipo ya awali, ukitoa hyo utakuwa na uchungu wa kazi bure bure sikupi maana mnazingua sana siku hizi.
 
Andaa 500k nikupe pik pik ya mkataba, hyo laki tano ni malipo ya awali, ukitoa hyo utakuwa na uchungu wa kazi bure bure sikupi maana mnazingua sana siku hizi.
Sio mm mkuu, ningekuwa ni Mimi, Kisha nikawa na hiyo laki tano, ningeongezea laki 3, ningenunua used ningepiga kazi bila presha. Kama unaweza kumsaidia mdau msaidie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom