Dereva mzuri ni yupi?

Yeah me poa tu, we ndo unaadimika sana sijui majukumu ya kumlea vivi
Na kwambia,
sasa hivi muda mwng nakua mwsho wa upepo,network mpk niende kijiji cha pili
 
Uendeshaji tahadharishi, huyo ndiye dereva mzuri. Usipite speed kwenye makutano ya feeder roads kisa eti uko kwenye main road. Punguza mwendo maana anaweza akawa nakuja dereva tokea feeder road bila kusimama akaingia main road!
 
Yeah me poa tu, we ndo unaadimika sana sijui majukumu ya kumlea vivi
Nikatika harakati za kumtafutia vivian mkate wa kila siku
Bob marley:Is this love
 

Kulikuwa na madereva wengi wakiwania kuendesha hili gari. Dereva huyu aliyeko kwenye steering alikuja kwetu kwa unyenyekevu mkubwa kwamba tumpe kazi na kwamba yeye atakuwa dereva wa wote na atamsikiliza kila abiria na atahakikisha ustawi wa kila abiria so tukampa kazi. Safari imeanza tunashuka Kitonga dereva hataki kusikiliza abiria utadhani si yeye aliyeomba kazi kwa unyenyekevu mkubwa. Inasikitisha dereva anaendesha gari kama kabeba matofali na si binadamu wenye ubongo kama yeye. Sijajua vizuri hii safari mwisho wake utakuwa nini kwa kweli maana tunafukia mashimo kwa kwenda mbele, tyres hazina upepo konda anamweleza dereva tusimame gari ichekiwe dereva hataki kusikia chochote anaongeza mwendo tu.
 
hii si gari binafsi dereva kumbuka hilo
 
Napenda sana unavyotumia fasihi kaka, tunavyoendeshwa hata sielewi dereva anaelekea wapi maana mbele kuna giza nene
 
Dreva gari imepata pancha taa haziwaki giza limeingia yeye anakanyaga tu halafu anadai ati yeye ni dreva mzuri!
 
Me lori sipandi afu kama mkulu ni dereva wa roli basi anaendesha mchanga ila sio watanzania
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…