Labda breakdown ya ndege
Labda breakdown ya ndege
Nawaza kuitoa hapo
Labda breakdown ya ndege
Hahahaa....Nadhani ikija winch wakalikifunga belt litatoka.
Au izolewe kwa kijiko...
Aaaah hapo unaingia dereva unaiwasha,unaweka handbrake then unaingiza gear,unakanyaga moto bati halafu unashusha handbrake na kuachia clutch kwa wakati mmoja.....lazima itoke....usisahau gear ni reverse sio namba moja!
Aaaah hapo unaingia dereva unaiwasha,unaweka handbrake then unaingiza gear,unakanyaga moto bati halafu unashusha handbrake na kuachia clutch kwa wakati mmoja.....lazima itoke....usisahau gear ni reverse sio namba moja!
Front tyre ziko hewani na ninavyojua ndiyo zinazovuta gari!
Aaaah hapo unaingia dereva unaiwasha,unaweka handbrake then unaingiza gear,unakanyaga moto bati halafu unashusha handbrake na kuachia clutch kwa wakati mmoja.....lazima itoke....usisahau gear ni reverse sio namba moja!
What if ni front drive??? Na kama ni automatic???