The power of BRANDING.
Niliwahi kuwazungukia sana hao jamaa wakati nafanya research ya CELEBRITY ENDORSEMENTS TOWARDS BRAND IMAGE IN THE SOFT DRINK INDUSTRY IN TZ.
Mtoa maada nimeona hapo umewataja hao jamaa wawili kwamba mmoja anaweza kucompete na mwenzake wakiingia kubrand vitu sidhani kama upo sahihi.....
Fuatilia sababu ya mmoja wao kutemwa na kampuni nyingi ikiwemo moja ya SOFT drinks pia utanielewa....
Sio kila msanii mkubwa anafaa kuwa brand ambassador, big NO
Baadhi ya vitu ambavyo vinakufanya uchukuliwe kuwa balozi

1. POWER DISTANCE & MASCULINITY (unaipata ukigusa consumer behaviour) .......hapa inamatter sana kama tunachagua gender ya balozi (me &ke) hizo ndo sababu za msingi.
2. Influence
3. Image
4. Credibility
5. Reputation.
Hizi sababu zinakupa swali mwenyewe ujiulize kwamba why kampuni nyingi kubwa duniani zinapenda sana kuwatumia WAHINDI kama brand ambassadors globally....kuna akina SHARUKH KHAN apple, Alia Bhatia nadhani ni MCDONALD kama nakumbuka vyema......Amir Khan....Samsung etc....
Then nimeona watu wanachanganya FRANCHISING & LICENCING......
Mkuu ni hayo tu, nimeipenda sana thread
Sent from my SM-A107F using
JamiiForums mobile app