Plan Master
JF-Expert Member
- Jan 1, 2021
- 2,188
- 3,773
Una kitu utafika mbali😃Soda n mirinda nyeusi tu
Hainaga ladha kiujumlaSijawahi kuielewa ladha ya Pepsi
Hapana wewe ni mlevi umeingilia mada sio yako🤣🤣🤣🤣 *utaniMimi sijawahi kuelewa, hivi wanaokunywa soda wanapata nini?
Mimi siyo mlevi ila huwa naona afadhali ya wanaokunywa bia maana inatokana na nafaka.
mkuu unajua maana ya flagship?Mwarabu alibuni formula yake kiweledi wa hali ya juu, Sprite ndiyo flagship ya kampuni ya Coca-Cola. 7Up wameiga lakini wameshindwa.
Sprite haiishagi gesi. Ni clear hata kwa macho unaweza kuona hata kama kuna residuals. Ni safe.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Ukihonga chips kuku kwa mirinda hakuna wa kike atakaye kukataa.


mirinda gani?K = Koka au?Niliacha kunywa Coca mwaka 1999 nikiwa abroad (Nairobi - Kenya) baada ya hiyo soda kunipalia vibaya sana.
Coca naichukia sana
Turudi kwa Pepsi
Pepsi ni kubwa Jinga Flani halina ladha wala nini linabebwa na Matangazo.
Soda yangu Pendwa nikiwa na Muda ni Mirinda Nyeusi Japo ina sukari Nyingi ila ndio hivyo tena tamu kama K
Bonite ya Mengi haiuzwi Dar na wala Mengi hana ushirika wa biashara na Coca-Cola Kwanza ya Mikocheni.Niliwahi kusikia Pepsi waliiba formula ya Coca na kuiboresha.
Huenda kwa kufanya hivi walifanikiwa kuliteka soko.
Japo Kibongo bongo hii Kampuni ya Coca inabidi ipunguze Ubahili kwenye kuipromote Soda yao.
Naona tangu Mzee Mengi afariki Dunia ni kama wale Wahindi aliowaajiri pale Mikocheni wanataka kumhujumi.
SBC Tz Ltd (Pepsi) imewekeza sana kwenye matangazo.Ujio wa pepsi Big nadhan ilikuwa moja ya best move kwa Kampuni ya Pepsi ambayo imewabeba sanaa kujibrand
Maji yepi? Kuna makampuni zaidi ya 20 ya maji.
Baba zako wadogo tukiwa tunajadili mstakabali wa soda kitaifa usiwe unataja hizo juisi



Itabidi tupige kura kati ya Pepsi na Coca.Kwa hang over piga Fanta ww ndo siri mkuu
Yeye muuzaji kwa mlaji anauza bei gani ili wateja wahamie kwenye Pepsi?Huyo mond hana effect yoyote kwenye mauzo ya Pepsi...
Kilichonifanya Pepsi kuteka soko bongo ni aliposhusha bei yake ya jumla.
Kwahyo muuza soda akiuza Pepsi anapata faida kuliko akiuza coca
Kampuni zenye soda za Coca Cola hapa Tanzania ni Bonite Bottlers Ltd iliyoasisiwa na Mengi (RIP) na Coca Cola Kwanza Ltd.Niliwahi kusikia Pepsi waliiba formula ya Coca na kuiboresha.
Huenda kwa kufanya hivi walifanikiwa kuliteka soko.
Japo Kibongo bongo hii Kampuni ya Coca inabidi ipunguze Ubahili kwenye kuipromote Soda yao.
Naona tangu Mzee Mengi afariki Dunia ni kama wale Wahindi aliowaajiri pale Mikocheni wanataka kumhujumi.
Kaka huo mtanange uliwahi tokea hapa sinza neema pub ilikuwa mkali sana watubwanamwaga hadi formula