PCGAMES
JF-Expert Member
- Apr 11, 2013
- 802
- 1,190
Mirin
Mirinda ndugu yake pespi
Mirinda ndugu yake pespi
Anauza Bei sawa na Coca.Yeye muuzaji kwa mlaji anauza bei gani ili wateja wahamie kwenye Pepsi?
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Asante kwa ufafanuzi Mkuu, Noted with thanks 🙏Kampuni zenye soda za Coca Cola hapa Tanzania ni Bonite Bottlers Ltd iliyoasisiwa na Mengi (RIP) na Coca Cola Kwanza Ltd.
Siyo kila soda ya Coca ni ya Mengi
Shukrani kwa Ufafanuzi Mkuu, Noted with thanks 🙏🙏Bonite ya Mengi haiuzwi Dar na wala Mengi hana ushirika wa biashara na Coca-Cola Kwanza ya Mikocheni.
Coca-Cola industry imegawana maeneo ya biashara kikanda kwa nchi zote duniani. Kwa Tz iko hivi:-
1. Coca-Cola Kwanza inauza Kanda ya Pwani, Mashariki na Nyanda za Juu Kusini.
2. Nyanza Bottling ya Gachuma inauza Kanda ya Ziwa.
3. Bonite Bottling ya Mengi inauza Kanda ya Nyanda za Juu Kaskazini.
Pepsi iko nchi nzima.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app

Orange au nyeusi (kipapli)?Mirin
Mirinda ndugu yake pespi
Mo Xtra at the wheelKinywaji cha Pepsi kinadaiwa kutamba sokoni na kutishia market share ya mtani wake wa jadi Coca.
Derby hii inadhaniwa unywaji wa Pepsi kwa kasi ya mwanga umekolezwa na Mondi kui-brand.
Haijulikani kama mkataba wa Mondi ku-brand Pepsi utapofikia ukomo mtani wa jadi Coca atatamalaki soko na kuchukuwa kombe (market share) la Derby hiyo?
Mtu pekee anayeweza kummudu Mondi ni Konde-boy.
Una-beti kwa kinywaji kipi kwenye Derby hii?
Kiboko ukute imelala kwenye Friji.Soda n mirinda nyeusi tu
Hapo cocacola walikaa ina addiction ukimaliza unataka nyingine.Vinywaji vyote hivyo ni takataka mbele ya stone tangawizi
Pepsi 600/ Coca 700/ je, hii inaweza kuwa sababu Pepsi kunyweka sana?Kaka huo mtanange uliwahi tokea hapa sinza neema pub ilikuwa mkali sana watubwanamwaga hadi formula
Kuna muuzaji mmoja anasema Pepsi inafanya kazi kama ile ya mihogo wabichi na nazi wabichi.Kampuni zenye soda za Coca Cola hapa Tanzania ni Bonite Bottlers Ltd iliyoasisiwa na Mengi (RIP) na Coca Cola Kwanza Ltd.
Siyo kila soda ya Coca ni ya Mengi
Usichokijua coca ya dar si coca ya Mengi, coca ya Mengi ipo Moshi, Arusha n Tanga kama sikoseiNiliwahi kusikia Pepsi waliiba formula ya Coca na kuiboresha.
Huenda kwa kufanya hivi walifanikiwa kuliteka soko.
Japo Kibongo bongo hii Kampuni ya Coca inabidi ipunguze Ubahili kwenye kuipromote Soda yao.
Naona tangu Mzee Mengi afariki Dunia ni kama wale Wahindi aliowaajiri pale Mikocheni wanataka kumhujumi.
Maji ya kunywa yaliyo salama kwa afya zetuMaji yepi? Kuna makampuni zaidi ya 20 ya maji.
TBS wanaamini maji yenye ubora kwa afya zetu ni ya DAWASA tuu.
Siku hizi hakuna kampuni inaendelea kuvuna maji ya chemichemi na maporomoko.
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
MkumboMimi sijawahi kuelewa, hivi wanaokunywa soda wanapata nini?
Mimi siyo mlevi ila huwa naona afadhali ya wanaokunywa bia maana inatokana na nafaka.
Ni KitilaMkumbo
Nasikia kuna Msukuma wa Ushetu alileta ng'ombe Pugu Mnadani kwa mara ya kwanza kusafiri nje ya Ushetu. Alipopewa Sprite akasema auziwe mbegu yake aende apande Ushetu. Akakutana na Apaikunda Ufoo wa Machame anausa baa, akam-usia mnaanaa eti ndiyo mbegu ya Sprite. Baghosha!Mimi na kampuni ya Coca -Cola damu damu…yani ni pate Coca cola au Sprite weeeee…..roho kwatu
Okay, shukrani kwa Ufafanuzi.Usichokijua coca ya dar si coca ya Mengi, coca ya Mengi ipo Moshi, Arusha n Tanga kama sikosei
Sana mkuuHapo cocacola walikaa ina addiction ukimaliza unataka nyingine.