Derby ya Pepsi na Coca Konde-Boy Okoa Coca

Derby ya Pepsi na Coca Konde-Boy Okoa Coca

Soda n mirinda nyeusi tu
Ewaww. Tena iwe baridiiii na umekula nyama ugali
JamiiForums1746901922.jpg
 
Kwanini sprite ni salama kitaalamu
Mwarabu alibuni formula yake kiweledi wa hali ya juu, Sprite ndiyo flagship ya kampuni ya Coca-Cola. 7Up wameiga lakini wameshindwa.

Sprite haiishagi gesi. Ni clear hata kwa macho unaweza kuona hata kama kuna residuals. Ni safe.

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
 
Huyo mond hana effect yoyote kwenye mauzo ya Pepsi...
Kilichonifanya Pepsi kuteka soko bongo ni aliposhusha bei yake ya jumla.
Kwahyo muuza soda akiuza Pepsi anapata faida kuliko akiuza coca
 
Back
Top Bottom