Landcruiser
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 1,803
- 596
bro nimeomba ushauri na co kuxema et matoz nan toz sasa dah bro unaonekana unapenda sana sifa asee
Kawaida yake mzoee
bro nimeomba ushauri na co kuxema et matoz nan toz sasa dah bro unaonekana unapenda sana sifa asee
Karibu sana.wenzio ndo tupo tunazima moto wa kwenda kukabiliana na supp zetu..ila we kama hupendi kuishi kwa stress na mpenda mauzo sana nakushauri uhamie kwa matozi wenzio kule bcom..
Hamna ugumu wowote bwa mdogo koz ya kawaida sana
Mm nasoma pale watu matokeo ya kawaida tu tena department ya ecomics udism haina complication sana
We soma kwa bidii pindi utakapofika pale
Cha kuzingatia kuna coz moja hivi ya economics inaitwa EC 126
Semista ya pili inabidi uwemakin nayo si ngumu ila jamaa anaesimamia ndio mtataaa
Karibu udsm the home of intelectuals
Kinachokuogopesha ni nini?jaman naomba msaada kwa yeyote anayeijua...? Coz nimeshatishwa apa mmmh mpaka nataka kuhama course
Karibu sana.wenzio ndo tupo tunazima moto wa kwenda kukabiliana na supp zetu..ila we kama hupendi kuishi kwa stress na mpenda mauzo sana nakushauri uhamie kwa matozi wenzio kule bcom..
Wakuu vipi bado mheshimiwa osoro yupo? Kama yupo, huyu mleta uzi ajipange. Msipe matumaini ya uwongo. Osoro kwa kugonga vichwa ni balaa.
we nae upo tu kama viaz
yan nimeambiwa kua department yao wanaroho mbya yan unaweza ukapata gpa ya 1.8 na hawaogopi kukupa 0/20 dah sasa adi m2 unaogopa asee
sasa kama umepata 0 upewe nini? Acheni uzushi nyie....nimesoma course nne kwenye hiyo department hakuna kitu!! Ukifeli no ubwege wako tu!!
brother angu alikuwa anapiga hiyo alikuwa kila akirudi likizo anatukana tukana walimu wa hiyo department. Mi nilikuwa simuelewi.