faraji yassin
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 243
- 24
jaman naomba msaada kwa yeyote anayeijua...? Coz nimeshatishwa apa mmmh mpaka nataka kuhama course
jaman naomba msaada kwa yeyote anayeijua...? Coz nimeshatishwa apa mmmh mpaka nataka kuhama course
amna,we ukifuata wanachokufundisha utakamatwa wapi?kwan wote wanapata 0/20?mbna wengne wanafaulu?basi we kawe mmoja ya wanaofaulu
jaman naomba msaada kwa yeyote anayeijua...? Coz nimeshatishwa apa mmmh mpaka nataka kuhama course
Kaka ungekuwa TO ungejaza mbwembwe xna
poa ila mtoa uzi hajawa specific anachotaka
Kaka ungekuwa TO ungejaza mbwembwe xna
jaman naomba msaada kwa yeyote anayeijua...? Coz nimeshatishwa apa mmmh mpaka nataka kuhama course
brother angu alikuwa anapiga hiyo alikuwa kila akirudi likizo anatukana tukana walimu wa hiyo department. Mi nilikuwa simuelewi.
Karibu sana.wenzio ndo tupo tunazima moto wa kwenda kukabiliana na supp zetu..ila we kama hupendi kuishi kwa stress na mpenda mauzo sana nakushauri uhamie kwa matozi wenzio kule bcom..
Karibu sana.wenzio ndo tupo tunazima moto wa kwenda kukabiliana na supp zetu..ila we kama hupendi kuishi kwa stress na mpenda mauzo sana nakushauri uhamie kwa matozi wenzio kule bcom..
brother angu alikuwa anapiga hiyo alikuwa kila akirudi likizo anatukana tukana walimu wa hiyo department. Mi nilikuwa simuelewi.