kati ya viongozi sita wa juu wa CHADEMA, mchaga ni mmoja tu.. kati ya viongozi sita wa juu wa BAVICHA mchaga ni mmoja tu, kati ya viongozi sita wa juu wa BAWACHA mchaga ni mmoja tu na kati ya viongozi sita wa juu wa baraza la wazee chadema hakuna mchaga hata mmoja. labda kuna ukabila.. nasubiri nioneshwe!!! kikatiba john mallya sio kiongozi wa chama bali mwanachama tu, mtoa mada anadai mwenyekiti wa bavicha na katibu ni wachaga! sina uhakika kama tarime alipozaliwa john heche wanatokea wachaga nasubiri ufafanuzi