Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

Deo Munishi na John Mallya wa CHADEMA

Mleta mada hapa anasumbuliwa na roho ya ubaguzi na buku sana.Binadamu ukifikiria kwa kutumia tumbo,ni hatari sana.Yeye alitaka kabila gani liwepo pale?.CCM badilikeni,mtatupeleka kubaya!.
 
hakuna ujinga wala upumbavu katika kuhoji kwa lengo la kutaka kujua.

Kipaumbele katika chaguzi ndani ya CDM ni sifa muhimu pamoja na uzoefu. Hilo la kabila gani unalotaka kutuaminisha halipo kwenye vigezo na sifa. Hata hivyo si vibaya ukianza na kuhoji kwa nini wakware hawakumpigia kura mmasai chalinze?....acha kujenga hoja za nyimbo za akina LUSINDE na NAPE, labda ww ni empty headed mkuu.
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?

Abunuasi; Kabla sijashangaa upuuzi ulioweka jukwaani. Nimeshtushwa na ukabila, ufamilia na usultani wa Kikwete kwamba yeye aliongoza Chalinze mara 3 mfululizo akamwachia binamu yake Said Bwamdogo sasa kwa kutumia ubabe wa majeshi, kukunjwakunjwa sheria za uchaguzi kulikosimamiwa na tume ya uchaguzi, rushwa iliyokithiri mtoto wake mtukufu naye amekabidhiwa jimbo hilo.
Hii inaudhi sana. Nakushangaa kuwa macho yako hayaoni hili bali unatunga jambo la uongo kuhusu wachaga na CHADEMA.
 
Chadema kete yao kuu ni udini na ukabila, uchagga kwanza,utaifa baadae

Ccm sasa hivi mwendo ni ufamilia tu, tunahakikisha familia yote ya mkuu inakula nchi ya wajinga, tena tuna mpango wa kufanya sensa ya ndugu na jamaa wote wa viongozi wa ccm, ili tuone namna ya kuwagawia vyeo, akina ifweero tutawatuliza kwa kuwapa ubalozi wa nyumba kumi ili waendelee kutulamba viatu, tutawashonea na kaunda suti mojamoja ili wasishtuke kuwa ni misukule yetu.
 
Last edited by a moderator:
kati ya viongozi sita wa juu wa CHADEMA, mchaga ni mmoja tu.. kati ya viongozi sita wa juu wa BAVICHA mchaga ni mmoja tu, kati ya viongozi sita wa juu wa BAWACHA mchaga ni mmoja tu na kati ya viongozi sita wa juu wa baraza la wazee chadema hakuna mchaga hata mmoja. labda kuna ukabila.. nasubiri nioneshwe!!! kikatiba john mallya sio kiongozi wa chama bali mwanachama tu, mtoa mada anadai mwenyekiti wa bavicha na katibu ni wachaga! sina uhakika kama tarime alipozaliwa john heche wanatokea wachaga nasubiri ufafanuzi
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?

Id yako tu inawakilisha kile kilicho kichwani kwako.
 
jamaani naangalia ukurasa-eatv nimeona viongozi wa bavicha dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. Lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. Hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? Nimeshangaa jiji la dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
Msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?
wazo zuri kama ugomvi wako ni dini na makabila hebu tutafutie kiongozi yoyote tanzania asiye na dini wala kabila.hao ndo walio gombea na kushinda shida yako nini kumbuka upinzani haukuanzia kwa wahehe wala wakinga wala wabena wala wangoni ndio maana ni maskini sana na ndo wanaanza kujielewa sasa kuwa ni maskini sababu ya ccm
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?
UDINI NA UKABILA NDIYO UTAKAOWAMALIZA NYIE!... MMEVAA KOTI LA UKABILA NA KANZU YA UDINI na kueneza uchafu kama huu...
 
mkuu lakini hata hao mamods nafsi zao zitawasuta maana haya madai ya chadema na uchaga yamekuwa kila siku kwenye media na huku mitaani.

Hakuna ujinga wala upumbavu katika kuhoji kwa lengo la kutaka kujua.

pale makao makuu ufipa mpaka mfagizi ni mchagga

Mkuu jibu hoja kwanza wosia baadae!

Chadema kete yao kuu ni udini na ukabila, uchagga kwanza,utaifa baadae
SISHANGAI watu wa dini moja kuungana kupandikiza chuki za udini na UKABILA... NANI ASIYEJUA KUWA MCHANGE NA WAFUASI WAKE HAWA NI WAISLAMU?
 
Hivi bado hiyo SINGLE ya UKABILA NA UDINI ina HIT TOP TEN ZA BILLBOARD?!
 
Njaaa mbaya sana, yaani hizi buku 7 hizi ni issue!
 
Mleta mada lazima utakuwa na elimu ya kuunga unga tena div v. Rudi ukasome walau umalize hilo darasa la mmemkwa.
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?
Kwani kalenga kulikuwa hakuna familia nyingine mpaka ya Mgimwa?... chox vipi?
 
Hakuna ujinga wala upumbavu katika kuhoji kwa lengo la kutaka kujua.

Ni ujinga kumnyooshea kidole mwenzio unayemtuhumu kujamba huku wewe mwenyewe ukiwa umejiharishia dhahiri hapo ulipo!,CCM munapandikiza watt wenu kila sehemu nyeti na nono ktk taifa hili halafu munatuletea vipropaganda vya kipuuzi hivi! Hamujiulizi watoto wa viongozi waliokalimbikiziwa mali na vyeo na baba zao leo wako wapi? Nendeni libya,misri,tunisia,Ilakhi n.k.Mulivyo manyumbu wala amujui kuwa kama baba ukiwa fisadi uliyevaa joho la siasa ni mbaya sana kumruhusu na mtoto wako ajivike joho hilohilo kufanyia ufisadi tena! Hata huyu riz mwanzoni alikuwa anakwepa kashfa za utajiri wake wa ghafla kwa kigezo ni wakili hivyo akituanbia kazi inamlipa! Sasa nayeye amejisahau amejikuta kaja kuvaa joho lilelileeee.Kweli sikio la kufa halisikii dawa
 
Dr Slaa HAFAI kuwa Raisi wa Tanzania 2015-2020
Dr Slaa ni Miongoni mwa Wanasiasa Wakongwe na
Machachali Hapa Nchini.Harakati zake Zimeanza
Zamani, Tangu Akiwa Mtumishi wa Kanisa Katoliki
(Padre) na Baadae Akafukuzwa Baada ya
Kuonyesha Utovu wa Nidhamu, Inasemekana
Haka Kamchezo Katamu Kalikuwa Chachu ya yeye
Kufukuzwa Upadre.
Nimekuwa Nikijiuliza,
1. Hivi Huyu Dr Slaa Alianza Kuwa na Ndoto za
Kuwa Raisi wa Nchi Hii Tangu Lini??Maana mimi
Nafahamu Alikuwa Padre, sasa Mapadre na Uraisi
katika nchi hii wapi na wapi??Maana Mapadre
Wameapa Kuwa Watumishi wa Mungu hadi Kufa
kwao…..Sasa Huyu Dr Slaa Kabla ya Kuwa Padre
Alikula Kiapo Kipi??
Na Kama aliapa kuwa Mtumishi wa Mungu
(Padre) na Akashindwa…Anawezaje Kunishawishi
Ataweza Kuwa Raisi wa Nchi Hii kwa Kipindi cha
Miaka Mitano??
Lakini Pia Nimekuwa Nikijiuliza
2. Hivi ni Kipi Alichokifanya Dr Slaa Hata
awashawishi Watanzania Hususani Vijana
Kumpigia Kura ili awe Raisi wa Nchi Hii??Maana
Mimi Namfahamu Dr Slaa Kama Mlopokaji,Mtu
Mwenye Jaziba, Mvunja Ndoa za Watu,Ndumila
Kuwili Maana Upadre anautaka,Uccm anautaka
na Uchadema anautaka Pia…..Msela Maana Hadi
leo Hajaoa Licha ya Kuwa na Miaka 72.
3. Jamani Hivi ni kweli Tumekosa Watanzania
Wazalendo,wenye Historia nzuri ,Wenye Elimu na
Wachapa Kazi,Wasio na Kashfa za Ubakaji Hadi
Tumchague Dr Slaa kuwa Raisi wa Nchi Hii??
Ikumbukwe ya Kwamba,Dr Slaa Alilazimishwa
Kugombea Uraisi kwa Ticket ya Chadema mwaka
2010,yeye Hakutaka, Alikuwa Anajua Kabisa
Hawezi Kushinda ndio Maana Aliilazimisha
Chadema Kuingia MKATABA wa Kumlipa Mshahara
na Posho kama Wabunge endapo Atashindwa
kwenye Kinyang’anyiro Hicho.
4. Hebu Tujiuliize Pia..Hivi Historia ya Dr Slaa
Inatushawishi Kumchagua Kuwa Raisi wa Nchi
Hii??Maana mimi naona Hostoria yake
Imepindapinda kama Zigzag Line…….
Kiukweli Kabisa,Dr Slaa ni Mroho wa
Madaraka,Mbinafsi kama Freeman Mbowe…ndio
maana Alivyokatwa jina lake katika kura za maoni
ndani ya CCM mwaka 1995 Akaamua Kukimbilia
Chadema.Huwezi Kusema Dr Slaa Anaipenda
Chadema Maana Bila Kukatwa jina,asingekuwa
Chadema Hivi Leo….
UFUPISHO
Dr Slaa Hafai Kuwa Raisi wa Nchi Hii kwa Sababu
1. Sio Muaminifu, Haaminiki Sio kwenye Masuala
ya Kiutawala tu bali hadi kwa Vimada wake..
2. MUHAFIDHINA, Akichaguliwa, Hata Kubali
Kutoka Madarakani,atakuwa King’ang’anizi kama
Museven…
3. Hana Uwazi, Ameshindwa Kusimamia Usomwaji
wa Taarifa ya Mapato na Matumizi ndani ya
Chadema…
4. Mgonjwa, Anaumwa Kisukari na
Pressure….Taifa Linaweza Kula Hasara za Kufanya
Uchaguzi Mwingine Katikati ya 2015-2020 Maana
Afya ya Mtu Huyu ni kama Mvua za Dodoma…..
Vijana Tutafakari kwa Kina….Nani Anatufaa Lakini
Tusipoteze Muda Kumfikiria Dr Slaa…
Viva Vijana Vivaaaaa……..
 
jamaani naangalia ukurasa-EATV nimeona viongozi wa bavicha Dar wakilalamikia waendesha pikipiki kuingia katikati ya jiji. lakini naombeni mnisaidie kunitoa tongotongo jamani. hivi hakuna makabila mengine zaidi ya wachaga wanaoweza kuongoza huko chadema? nimeshangaa jiji la Dar lililojaa makabila mbalimbali lakini nafasi zote muhimu zinaongozwa na wachaga tu kuanzia mwenyekiti wa mkoa henry kileo kumbe mpaka bavicha mwenyekiti na katibu ni mnishi na malya.
msaada tafadhali, kulikoni wachaga na chadema?

Wana sifa ndo maana wakagombea wanachama wakawachagua.
 
Back
Top Bottom