Denzel Washington...

Denzel Washington...

1.American gangster
2.training day
3.remember the titans
4.more better blues
5.all his films kwa kweli lol
 
The Boss A.k.A Denzel Washington anakila kila kitu, m-pm then he ll give all the movies, not only that hata history yake ukitaka atakupa maana they are twins.
 
Filamu zozote mpya/nzuri za muigizaji DENZEL WASHINGTON....Any recommendations?

Baadhi ya movoes za Denzel Washington ambazo nimefanikiwa kuziona ni
-2006 Inside Man
-2007
American Gangster
-2007
The Great Debaters
-
2009 The Taking of Pelham 1 2 3
-2010
The Book of Eli
-
2010 Unstoppable
-2012
Safe House
-2004
Man on Fire
The taking of Pelham 123 na Unstopable
zote zinahusiana na treni but ni movies nzuri tu lakini kati ya zote mimi ninayoipenda ni Inside Man maana ile ametumia akili sana.Hiyo ya safe House kaichezea Cape Town - South Africa na picha nyingi alizipiga mwaka 2010 wakati wa kipindi cha Wolrd Cup imetulia though mimi action yake inakwenda kasi sana kwa hiyo nashindwa kucop
 
Baadhi ya movoes za Denzel Washington ambazo nimefanikiwa kuziona ni
-2006Inside Man
-2007
American Gangster
-2007
The Great Debaters
-
2009The Taking of Pelham 1 2 3
-2010
The Book of Eli
-
2010 Unstoppable
-2012
Safe House
-2004
Man on Fire
The taking of Pelham 123 na Unstopable
zote zinahusiana na treni but ni movies nzuri tu lakini kati ya zote mimi ninayoipenda ni Inside Man maana ile ametumia akili sana.Hiyo ya safe House kaichezea Cape Town - South Africa na picha nyingi alizipiga mwaka 2010 wakati wa kipindi cha Wolrd Cup imetulia though mimi action yake inakwenda kasi sana kwa hiyo nashindwa kucop
Thnx alot nimeshaziona SAFE HOUSE AND AMERICAN GANGSTER..
Aisee huyu jamaa muigizaji mzuri sana yaani yupo so serious ana fit very well parts anazopewa azicheze!
 
Khaaa sasa si ungeni pm...

umeona Training day?
Ha ha ha The Boss,huyu jamaa yupo makini acheni masikhara naogopa usije kuwa serious kama yeye usijenitoa baruti...Hio Training day inahusiana na nini sikumbuki?Inawezekana nimeiona
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha The Boss,huyu jamaa yupo makini acheni masikhara naogopa usije kuwa serious kama yeye usijenitoa baruti...Hio Training day inahusiana na nini sikumbuki?Inawezekana nimeiona


Alipata award kwa hiyo movie
filam yote inahusu siku moja tu
inaanza asubuhi,inaashia usiku wa manane..
very good film..
 
Sijaiona hio TRAINING DAY The Boss,nimeicheck trailer inaonekana imetulia...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom