hugochavez
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,907
- 1,009
cooked information. mwenye akili timamu na aitumie, misukule iokotwe
Msacky asidanganye umma ukweli wenyewe ni huu.
1/Msacky amekuwa akionywa mara kadhaa na waajiri wake kuwa aache kuandika habari kwa kutumiwa na wanasiasa fulani lakini akawa mkahidi.
2/Tayari mkataba wake na mwananchi ulikuwa unaenda kufutwa kwa kuwa Msacky alishindwa kuufuata vyema.
3/Amekuwa na mahusiano mabaya na waandishi wengine wa Mwananchi na hivyo mara kadhaa wamiliki wake walishinikizwa kumfukuza.
4/Mapato ya Gazeti la Mwananchi yalishuka sana toka Msacky akiwa anaandika habari za kizushi dhidi ya CHADEMA.
*Kifupi Denis Msacky sio Mwandishi mzuri kimaadili na kitaaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kutumia Pesa na kununuliwa kirahisi sana na wanasiasa husuasani watawala, tabia ambazo wamiliki wa Gazeti la Mwananchi wanazichukia sana.