Denis Msaky atoka Mwananchi atimkia Mtanzania

Denis Msaky atoka Mwananchi atimkia Mtanzania

cooked information. mwenye akili timamu na aitumie, misukule iokotwe
 
Siasa CHAFU za kimakundi zaCCM
Watauwana wengi sana huko mzigoni.
 
Msacky asidanganye umma ukweli wenyewe ni huu.
1/Msacky amekuwa akionywa mara kadhaa na waajiri wake kuwa aache kuandika habari kwa kutumiwa na wanasiasa fulani lakini akawa mkahidi.

2/Tayari mkataba wake na mwananchi ulikuwa unaenda kufutwa kwa kuwa Msacky alishindwa kuufuata vyema.

3/Amekuwa na mahusiano mabaya na waandishi wengine wa Mwananchi na hivyo mara kadhaa wamiliki wake walishinikizwa kumfukuza.

4/Mapato ya Gazeti la Mwananchi yalishuka sana toka Msacky akiwa anaandika habari za kizushi dhidi ya CHADEMA.

*Kifupi Denis Msacky sio Mwandishi mzuri kimaadili na kitaaluma zaidi ya ujanja ujanja wa kutumia Pesa na kununuliwa kirahisi sana na wanasiasa husuasani watawala, tabia ambazo wamiliki wa Gazeti la Mwananchi wanazichukia sana.

Huu ndio ukweli utakaobaki kama kumbukumbu ya Msacky mpenda pesa wa gazeti la Mwanainchi, masaki kaliporomosha sana gazeti makini ambalo lilikuwa likiaminiwa na watu wengi hivyo nafikiri hii ni neema kwa Mwanainchi kwani siku zote watu husema...Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi, na aende huko kwa fisadi wa CCM wakasaidiane na rafiki yake ZZK kubumba visa vya kufikirika ili wapate mlo wao wa kila siku
 


Kuna Habari kwamba Mhariri Mkuu Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi Denis Msacky, ameacha kazi rasmi huko na kwamba sasa atajiunga rasmi New Habari na kuwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa Gazeti la Mtanzania kuanzia sasa.


Hii miwani mbona ka ya kike, au macho yangu?
 
huyu jamaa huwa hata sitaki kumsikia,mleta maada umenivurugia kabisa mood yangu na umekiuka haki yangu ya kutomsikia nisiyempenda!!
 
Back
Top Bottom