SIRI NZITO YA MSACKY NA LOWASSA HII HAPA
Huu ni mkakati MAHUSUSI wa
kuzuia rasimu ya Katiba. Unasukwa
na Makongoro Mahanga na Denis
Msacky, kupitia kinachoitwa, "Mradi
wa kumfikisha Lowassa Ikulu."
Hii imepatikana huku Denis Msacky
akiwa amejiunga na Rostam Aziz –
Habari Corporation – kutokea gazeti
la MWANANCHI katika kuhakikisha
Edward Lowassa anaingia
madarakani kwa jua au mvua
mwaka 2015.
Anakwenda Ikulu kufanya nini? Jibu
lake ni rahisi sana. Kuiba na
kumlipizia kisasi Jakaya Kikwete,
ikibidi hata kumfunga gerezani.
Basi!
Huko ndiko walikopanga kumtumia
mwandishi huyu wa habari
kufanikisha vizuri malengo yao.
Hapa wamedhihirisha ule mtandao
wao uliowahi kuanikwa na gazeti la
----------- wakati fulani, Zitto -
Msacky - Rostam.
Kabla ya hata uchaguzi wa
mwenyekiti wa Bunge la Katiba
haujafanyika, gazeti tayari
limefanya mahojiano na Mahanga.
Soma mwenyewe.
Katika mkakati huu, Msacky na
kundi lake, wameapa kufa kupona
kuhakikisha rasimu ya Katiba ya
serikali tatu haipiti. Ni kwa sababu
ya hofu ya kutibua move za urais za
mzee wa Monduli.
CHANGAMOTO KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM
SAMWEL SITTA.pdf