Denis Msaky atoka Mwananchi atimkia Mtanzania

Denis Msaky atoka Mwananchi atimkia Mtanzania

mwaga mambo , nahisi kama vile kuna kitu kikubwa sana kitatokea , msaki ni hatari sana !
 
Ngoja nipite ila huyu Msacky ndio nani nchi hii? Si ndo huyu rafikiye Zitto.
 
Last edited by a moderator:
SIRI NZITO YA MSACKY NA LOWASSA HII HAPA
Huu ni mkakati MAHUSUSI wa
kuzuia rasimu ya Katiba. Unasukwa
na Makongoro Mahanga na Denis
Msacky, kupitia kinachoitwa, "Mradi
wa kumfikisha Lowassa Ikulu."
Hii imepatikana huku Denis Msacky
akiwa amejiunga na Rostam Aziz –
Habari Corporation – kutokea gazeti
la MWANANCHI katika kuhakikisha
Edward Lowassa anaingia
madarakani kwa jua au mvua
mwaka 2015.
Anakwenda Ikulu kufanya nini? Jibu
lake ni rahisi sana. Kuiba na
kumlipizia kisasi Jakaya Kikwete,
ikibidi hata kumfunga gerezani.
Basi!
Huko ndiko walikopanga kumtumia
mwandishi huyu wa habari
kufanikisha vizuri malengo yao.
Hapa wamedhihirisha ule mtandao
wao uliowahi kuanikwa na gazeti la
----------- wakati fulani, Zitto -
Msacky - Rostam.
Kabla ya hata uchaguzi wa
mwenyekiti wa Bunge la Katiba
haujafanyika, gazeti tayari
limefanya mahojiano na Mahanga.
Soma mwenyewe.
Katika mkakati huu, Msacky na
kundi lake, wameapa kufa kupona
kuhakikisha rasimu ya Katiba ya
serikali tatu haipiti. Ni kwa sababu
ya hofu ya kutibua move za urais za
mzee wa Monduli.

CHANGAMOTO KWA MWENYEKITI WA BUNGE MAALUM
SAMWEL SITTA.pdf

hapa kwenye maandashi mekundu hakuna HABARI CORPORATION alikohamia mwandishi Msacky.
 
Ngoja nikonekiti dotisi=

Msacky(Zoka) + Zitto(Zoka) + Redi Brifukesi - UPINZANI CDM = Lowasa Ikulu 2015.

Kumbeee.....!!!!
 
wapambe nuksi. lowassa na kikwete hawajakutana barabarani, lowassa =chenge= sitta=kikwete=tanzania imara. mtahangaika sana
 
msaki ndio yule ambaye lwakatare alitaka kumteka kumtesa na kumlisha sumu
 
Yani hiyo katiba ipite ama isipite, iwe serikali tatu, mbili ama moja huyu LOWASSA wanaye tu. Mwaka 2015 ni mwaka wa CCM kuweweseka na kujikamata uchawi kweupeeee
 
msaki ndio yule ambaye lwakatare alitaka kumteka kumtesa na kumlisha sumu

Kumbe ndiyo maana ile kesi ya UGAIDI imeyeyukia hewani, huyu Msaky+Zitto wapo kimkakati katika mazingaombwe yao.
 
Hii habari haieleweki mwanzo wala mwisho wake labda kama umeenda kuitengeneza upya vinginevyo haina hadhi ya kuwepo
 
Asee!! Huyu Lowassa kwa mawe yote aliyorushiwa asipoanguka nitaamini CCM hawamuwezi kabisa
 
Zitto na Msacky ni hatari sana kwa hili taifa'
 
Back
Top Bottom