Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ninadhani katika kipindi cha kaka ben tulipokudwa tunaidai uganda nao uwezo wao haukuwa mzuri na waliomba wasamehewe baadhi ya madeni yaliyotolewa kwao na jumuia ya kimataifa na wakati huo huo nasi tulikuwa tunaomba msamaha wa madeni kutoka jumuia hizo nadhani baadhi ya masharti tuliyopewa ili tupate misamaha hiyo nasi tusamehe madeni yetu kwa uganda kwani nao hawakua na uwezo wa kulipa.[menye kufahamu zaidi anaweza kutuelimisha juu ya hili]Wachambuzi wa masuala mbali mbali.
Eti Uganda ililipa Tanzania kiasi cha Dolla MILLIONI 67 kama deni la vita kati ya Uganda na Tanzania?
Je kama ni kweli, pesa zilipokelewa na nani?
Je pesa hizo ni halali?
Kwani hiyo vita ilihijaka kulipwa?
Je pesa hizo kama zilipokelewa ziko wapi?
Kuna ukweli katika madai haya?
Mi ndio nasikia leo,
je ni nani aliamuru uganda iilipe tanzania?[/QUOT
BUJIBUJI,
Aliyeamuru Tanzania ilipwe sijui.
Labda tutapata taarifa hapa.
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ninadhani katika kipindi cha kaka ben tulipokudwa tunaidai uganda nao uwezo wao haukuwa mzuri na waliomba wasamehem baadhi ya madeni yaliyotolewa kwao na jumuia ya kimataifa na wakati huo huo nasi tulikuwa tunaomba msamaha wa madeni kutoka jumuia hizo nadhani baadhi ya masharti tuliyopewa ili tupate misamaha hiyo nasi tusamehe madeni yetu kwa uganda kwani nao hawakua na uwezo wa kulipa.[menye kufahamu zaidi anaweza kutuelimisha juu ya hili]
Wachambuzi wa masuala mbali mbali.
Eti Uganda ililipa Tanzania kiasi cha Dolla MILLIONI 67 kama deni la vita kati ya Uganda na Tanzania?
Je kama ni kweli, pesa zilipokelewa na nani?
Je pesa hizo ni halali?
Kwani hiyo vita ilihijaka kulipwa?
Je pesa hizo kama zilipokelewa ziko wapi?
Kuna ukweli katika madai haya?
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi ninadhani katika kipindi cha kaka ben tulipokudwa tunaidai uganda nao uwezo wao haukuwa mzuri na waliomba wasamehewe baadhi ya madeni yaliyotolewa kwao na jumuia ya kimataifa na wakati huo huo nasi tulikuwa tunaomba msamaha wa madeni kutoka jumuia hizo nadhani baadhi ya masharti tuliyopewa ili tupate misamaha hiyo nasi tusamehe madeni yetu kwa uganda kwani nao hawakua na uwezo wa kulipa.[menye kufahamu zaidi anaweza kutuelimisha juu ya hili]
...Safi sana mkuu.
Pesa hiyo bado haijalipwa, nakumbuka nilisoma magazeti ya Uganda mwaka juzi wabunge wao walikuwa wanajadili hilo suala la deni la vita.
AB-T,
Ukweli ni upi?
Nimepekua makabrasha na nimekuta hii ishu...
UGANDA PAYS TANZANIA $67 MILLION FOR AMIN WAR DEBT
DAILY MONITOR April 11, 2007
Almost 28 years after the over thrown of Idi Amin one of Africas famous dictators the country is still trying to shake off effects of his bad legacy. Amins regime is accused of killing between 300,000 -500,000 Ugandans in his eighth year rule of terror. Amin fled to exile after his regime was overthrow on April 11, 1979 and died on august 16, 2003 in Jeddah Saudi Arabia after living 24 years in exile.
Uganda has however cleared $67 MILLION debt owed to Tanzania for its part in helping in the overthrown of Idi Amin. The money was meant to cover Tanzanian property destroyed when Idi Amin government invaded Tanzania, cover equipment by Tanzania peoples defense forces against Amin. According to Uganda debt network (UDN) several external debts were incurred in the war against Amin. $ 100 million was found to be owed to Libya for its part in helping Amin try to beat off the successful Tanzania offensive and $35 million to Yugoslavia. However UDN feels the money to Tanzania should not been paid because this debt was contacted by liberation groups not recognized law and they were waging a war against a legitimate Uganda government at the time.
That said Ugandans will never forget the sacrifice and solidarity of the people of Tanzania in helping to overthrow the government of Amin.
Sasa wakulu waseme hii hela iko wapi ama ilitumika kivipi.
swala la kulipwa ni la kawaida,sheria za kimataifa ziko wazi kuhusu madeni,fidia,kati ya nchi zilizokuwa maadui, au nchi kama ilisaidia nyingine katika vita husika. La msingi ni je, hzo pesa zimelipwa?na kama ni ndiyo zipo kumbukumbu kuhusu matumizi yake?