Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Wachambuzi wa masuala mbali mbali.
Eti Uganda ililipa Tanzania kiasi cha Dolla MILLIONI 67 kama deni la vita kati ya Uganda na Tanzania?
Je kama ni kweli, pesa zilipokelewa na nani?
Je pesa hizo ni halali?
Kwani hiyo vita ilihijaka kulipwa?
Je pesa hizo kama zilipokelewa ziko wapi?
Kuna ukweli katika madai haya?
Eti Uganda ililipa Tanzania kiasi cha Dolla MILLIONI 67 kama deni la vita kati ya Uganda na Tanzania?
Je kama ni kweli, pesa zilipokelewa na nani?
Je pesa hizo ni halali?
Kwani hiyo vita ilihijaka kulipwa?
Je pesa hizo kama zilipokelewa ziko wapi?
Kuna ukweli katika madai haya?