Huyo aliyeiingiza nchi kwenye madeni hivo su aulizwe hezo hela zimefanya kazi gani?
Nyerere aliwahi mshauri Marehemu Kabila rais wa DRC/Zaire kuwa asikubali kulipa madeni yaliyokopwa kipumbavu na kwa anasa za Mabutu. Nasi tz madeni yaliyosababishwa kipuuzi na mkwere bili yake ipelekwe msoga.
La ndani au la nje?
Huyo aliyeiingiza nchi kwenye madeni hivo su aulizwe hezo hela zimefanya kazi gani?
mimi nafikiri kuna haja ya kupeleka mswada bungeni kufuta pensheni zote za rais yeyote atakae itia hasara nchi hii itasaidia sana kuendelea kutotumia kodi zetu kumtunza mtu alieliletea hasara taifa
Nadhani tuwakamue wabunge maana wanakiherehere cha kujifanya wako pamoja nasi tufute posho ya makalio,mashangingi na utumbo wa mil 250 kama mafao yao tuone kama deni halitaisha na wakatukopa sisi
ni kweli kabisa tukifanya hivyo hata bungeni wataenda wazalendo tu sio kama sasa bunge limejaa wapigaji tu