Jogoolakiume
Member
- Mar 8, 2013
- 15
- 4
Baada ya kukaa bila msichana kwa muda mrefu kdogo nimeamua kuwa na demu lakini tatizo linakuja pale ninapotaka kumtambulisha kwa washikaji nashindwa coz anafanyakaz kwenye lounge moja hapa mjini na sometimes anaingiaga ucku ......ila nampenda tatizo ni hzo ratiba zake....eti wadau niendelee kuwa nae...?