mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Kaka una spidi,only 4 months ukafunika gap?duh!
Kaka inabidi apate ushauri kutoka kwa Docter.hata hivyo hayo ni mambo madogo tu
Duh! kumbe na huku huwa unachungulia kupunguza stress?Maana jukwaa la siasa lataka moyo Mkuu