Demu wa vibomu

Demu wa vibomu

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
7,218
Reaction score
12,753
Yaaaap weekend ndio hii hali ya hewa mwanana kabsa kimvua kwa mbaaaaali.....

Hebu tufunguke wanaume wenzangu ni mbinu gani unazotumia kumtoka demu wa vibomu baada ya kupiga hatua moja muhimu....
Maana kiukweli huwa wanakera!!! Mtu siku moja virungu 7 akiona hiki utasikia message baby naomba laki nna shida na hiki... Mara kaona hiki baby naomba hiki...ila ukiwa una shida wewe hata hakuiti baby wala cha mpenzi anakujibu makavu...
Unaweza mtumia message au kumpigia simu

Wewe: mambo mpenzi
Yeye: poa
Wewe: umeshindaje laazizi
Yeye: safi
Wewe: leo njoo mpenzi
Yeye: nitaangalia
Wewe: kuna zawadi yako
Yeye: waooooh sawa mpenzi laazizi mahabuba honey namalizia kitu hapa dakika 5 nmefika...

Hivi huwa mnawaepuka vipi hawa watu khaaa maana ni kero.....
 
^^
Wanawake wana akili, wanajua wakamue wapi.. Mi uniletee habari hizo ujue unapiga wimbo wa kidali po mbele ya ukuta, ukitaraji ukuta ucheze
^^
 
^^
Wanawake wana akili, wanajua wakamue wapi.. Mi uniletee habari hizo ujue unapiga wimbo wa kidali po mbele ya ukuta, ukitaraji ukuta ucheze
^^

hahahaaaa! Unapotea mkuu! Majukum vp
 
hawafai unatoka na mtu unampatia kama elfu 40 hivi baada ya kuachana ndani ya lisaa moja unapokea sms baby simu yangu inashida nilisahau tu kukuonyesha pale naomba kesho nikanunue nyingine tena nitumie tigo pesa,ukituma tu utaona sms asante alafu nimeona rasta nzuri elifu 30 tu,jamani jamani jamani huu ni wizi!
 
Sasa hvi tunatakiwa tuishi kwa akili na ujanja sana na hawa viumbe... KATA FUNIKA...... Fanya jitihada piga mara moja akianza kukuomba mpe ahadi hata ya siku mbili baada ya hapo weka blacklist........ Utaumizeje kichwa na mtu usiyemzaa??........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom