Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Wa tandale tunajua soseji ni utumbo wa mbuzi alaf kwa juu tunaongezea na mtindi kuboresha utamu! Huku kwetu uswahilini kuna mambo ukila soseji nyujmba nzima iliyojaa wapangaji tunashindana kwamba leo flani kala vizuri kweli kuliko wengine hi hi hi hi!!