Ras
Senior Member
- Mar 16, 2007
- 126
- 6
mmh labda uje nae....sasa nakuchekesha nin
Thats my babe!! umejibu vyema. nilikuwa nasubiria nione utamjibu vipi!! kamata hii zawadi kwanza.. :A S-rose:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmh labda uje nae....sasa nakuchekesha nin
kwaiyo daily muwalize mademu tu lakin nyinyi ahh apana cz mna damu na nyama lakin mademu wana mifupa tu so wanaweza kuvumilia?
Jamani ukimtenda mpenzi wako na ukaona amekaa kimya usifikiri kuwa umepata boya la kuchezea..
Kakakiiza, nyie ndo wabinafsi ...kwa nini umharibie ? Ulipata nini? Kwa kuwa hutaki hutaki kutumia sukari ndo uimwagie mafuta ya taa ili isitumike?
Ungemmega alafu ukasepa. Akale wapi? akaolewe na nani? Badilika Bwana!
Dah! Mwanangu ummetumia busara kweli.
Kibuti cha kimya kimya huwa kinawauma sana hasa vicheche.
Mimi kuna mmoja alikuwa ana mipango hiyo hiyo, mara tukiwa naye mtu anampigia simu naye bila aibu eti anapokea na anaongea na njemba mbele yangu,,, nilichofanya hata sikumuuliza huyo ni nani uliyekuwa unaongea naye. Tulimaliza mambo yetu na tukaagana kwa amani tu. Ikatokea kila akipiga simu tukutane nampa visingizio kibaao mradi tusikutane.. Alivyokuja kugundua kuwa mwenzake sina habari naye tena eti anakuja kunambia nikimhitaji wakati wowote nisisite kumtafuta eti bado ananipenda! Siku hizi huwa tunawasiliana kama marafiki tu. Mpaka leo ananiomba nimwambie sababu ya kutokutaka mahusiano naye, eti moyo unamuuma...
Jamani ukimtenda mpenzi wako na ukaona amekaa kimya usifikiri kuwa umepata boya la kuchezea..
Kakakiza hapa kimaslai zaidi! Ila du anaweza fikiri upo kama avatar yako hiyo!ROSE 1980 bwana unaniachaga hoi hivi unaonaje tukutane siku moja kila mmoja wetu acheke kivyake??
Tatizo ukiwaonyeshea upendo wao wanaona wamekutite uwezi kufurukuta!!