Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,194 Aug 15, 2011 #41 Muuza Sura said: nimemind sana mtoto mkali ananitabasamia halafu rafiki baya limenibania linamwambia aachane na mimi halafu limeniangalia kwa pozi!hivi ni kweli midemu mibaya inaringa au ni wivu tu kwasababu hawatokewi?nimemind sana leo.... Click to expand... Acha janja ya sungura ya sizitaki mbichi hizo!! Maneno yako ni ya mkoswaji tu.
Muuza Sura said: nimemind sana mtoto mkali ananitabasamia halafu rafiki baya limenibania linamwambia aachane na mimi halafu limeniangalia kwa pozi!hivi ni kweli midemu mibaya inaringa au ni wivu tu kwasababu hawatokewi?nimemind sana leo.... Click to expand... Acha janja ya sungura ya sizitaki mbichi hizo!! Maneno yako ni ya mkoswaji tu.
Mwendabure JF-Expert Member Mar 10, 2011 2,138 1,040 Aug 15, 2011 #42 Mkuu Muuza Sura! Isije kuwa una sura mbaya kama yule Waziri Tai usoni. Afu unatutisha kwa maandishi hapa ilhali sura haitengenezeki...!
Mkuu Muuza Sura! Isije kuwa una sura mbaya kama yule Waziri Tai usoni. Afu unatutisha kwa maandishi hapa ilhali sura haitengenezeki...!