Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Hapo huwa wanaleta madaftari ya kujisomea menyu?
Mie nataka sehemu ambayo naambiwa kuna supu kuku, wali ng'ombe, ugali mbuzi choma.
Haya ya Marinated chicken breast nodules with butter naan siyataki.
Mie nataka sehemu ambayo naambiwa kuna supu kuku, wali ng'ombe, ugali mbuzi choma.
Haya ya Marinated chicken breast nodules with butter naan siyataki.
Lunch leo nataka nikupeleke sehemu ya ukweli...Nitakupitia twende zetu Joly...wana yama ya mbuzi ya ukweli.
Jion ndio utakula maziwa ya kuku!!