Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Tanzania ni Nchi wa Mfumo wa Vyama Vingi,
Kwa mujibu wa katiba iliyopo inavitaka vyama vyote kufanya siasa kwa maana mikutano ya hadhara na ya ndani
Cha kushangaza ni chama kimoja tu ambacho ni CCM ndio kinafanya mikutano ya hadhara na ya ndani vyama vingine vyote marufuku eti hiyo ndio demokrasia ya vyama vingi.
Kwa mujibu wa katiba iliyopo inavitaka vyama vyote kufanya siasa kwa maana mikutano ya hadhara na ya ndani
Cha kushangaza ni chama kimoja tu ambacho ni CCM ndio kinafanya mikutano ya hadhara na ya ndani vyama vingine vyote marufuku eti hiyo ndio demokrasia ya vyama vingi.