Demokrasia ndani ya CHADEMA inafutika polepole

Demokrasia ndani ya CHADEMA inafutika polepole

TE="chipolopolo 2, post: 15556582, member: 258327"]Demokrasia ipi unayozungumzia haswa , je chama chako Kinafata demokrasia . Nianze na mifano michache swala la umeya Tanga ,Dar na morogoro ni demokrasia ipi mmetumia tatizo hapo Lumumba mmezidi kukurupuka . Kwa hiyo zile kura za ndio/ hapana kule Bungeni hazifati demokrasia? Toa borit kwenye jicho lako ndo utoe kitanzi kwenye jicho la mwenzako.[/QUOTE]
Wahenga wanasema 'two wrongs don't make it right'. Ni bora chadema wasifuate upungufu wa ccm kwa sababu watashindwa
kujitofautisha na ubovu wa watani wao mbele ya wananchi. Pia chadema wasisahau sababu kubwa iliyosababisha wakasusa bunge maalum la katiba na kuzaliwa ukawa. Walipinga kufanya maamuzi mazito kwa kunyoosha mikono. Sasa kulikoni au ni mkuki kwa nguruwe.
 
Kuna wakati huwa naamini ili mtu awe mfuasi wa ccm inabidi pia awe mfuasi wa shetani, mleta mada ahoni ubakwaji wa democrasia kwenye swala la umeya wala swala za zanzibar yeye kaona mkutano mkuu wa cdm tu.........Kama nchi itaendelea kuwa na vijana wenye muono kama huu wako wakifika 200 tu Mungu anaigharikisha....
 
Hii division5 bado inaleta taabu
Mbona huulizi mwenyekiti wa
CCM alichaguliwa na nani na
Uongozi wake unaisha lini
 
Kuna wakati huwa naamini ili mtu awe mfuasi wa ccm inabidi pia awe mfuasi wa shetani, mleta mada ahoni ubakwaji wa democrasia kwenye swala la umeya wala swala za zanzibar yeye kaona mkutano mkuu wa cdm tu.........Kama nchi itaendelea kuwa na vijana wenye muono kama huu wako wakifika 200 tu Mungu anaigharikisha....
wanasiasa na wapenda siasa wote n wafuasi wa shetani jiondoe mkuu
 
Nilitegemea kwenye andiko lako ungeonyesha wapi katiba ya Cdm ilipovunjwa au kuikukwa katika suala zima la upatikanaji wa katibu mkuu wa chama..

Natoa angalizo tena.. Huyu Magufuli mnaemsifia anaendelea na zoezi la kubana matumizi.. Hili panga soon litakatiza Lumumba pale.. Zile za buku saba zitaota mbawa soon, mjiandae kutafuta makaka wa kuwalea mjini hapa..[emoji14] [emoji14] [emoji14]
 
Msemaji ukweli unashangaza sana kama in kufutika Kwa demokrasia basi imeanza kufutika kwenye chama cha CCM .Mwenyekiti anaingia Na majina 5 mfukoni mwake mnashangilia kama mazuzu halafu Leo mnasema eti Chadema hawana demokrasia wewe wa ajabu sana
Nimeamua kujenga hoja kuhusu CHADEMA. Unaweza kunisaidia kuhusu CCM.

Kuna baadhi ya watu wananiambia Rais Magufuli hakuwa chaguo la Rais Kikwete. Kwa maana nyingine, wajumbe wa CCM walikataa chaguo la Rais Kikwete.

Kuna chaguo la Mbowe ambalo limewahi kukataliwa na wajumbe kama lilivyokataliwa chaguo la Rais Kikwete?

Nielimishe!
 
Ilianza kwenye kuchagua mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.

Kwa sasa hata kuchagua Katibu Mkuu imekuwa vivyo hivyo.

Wanachama wanaombwa wanyoshe mikono juu badala ya kupewa kalamu na karatasi ili watumie haki yao ya msingi kikatiba kuchagua kiongozi wanayemtaka ndani ya sanduku la kura za siri.

Hii dhana ya uoga ni dalili inayoonyesha kinachofanyika viongozi wanafahamu hakikubaliki na wengi!

Hii aina ya demokrasia imeanza kustawi ndani ya CHADEMA baada ya ujio wa Lowassa na genge lake.

Unawaambia wanachama wanyoshe mikono juu wakati umewaangalia usoni kwa kutumia sura ya kutisha.

Kilichofanyika ni sawa na making important decisions under duress na hii katika macho ya sheria ni void.

Chama cha Demokrasia lakini hakiishi katika demokrasia ya kweli.

Wanachama wanajengewa nidhamu ya uoga na kulea matatizo kwa sababu ukipingana kimtazamo na kihoja na maamuzi ya viongozi wakuu (wenye chama) unavalishwa jina la usaliti au umenunuliwa.

Haikuhusu,linda nyumba yako iko wazi.Hayo ya CDM waachie wenyewe,chama kinakufa hakifi haikuhusu.

Nadhani kama CDM inakufa ni wakati muafaka wa kuanza kushangilia
 
Hivi nyumbani kwako huna shida mpaka uwaze CDM labda kama wewe ni mwanachama wa CDM then it makea sense
 
Back
Top Bottom